Jamaa ndo mara yake ya kwanza kuvutishwa bangi!
Ilimpokolea wenzake wakamwambia nyanyuka twende jamaa kuanza kutembea anapiga kelele mikono yake inaburuza chini akitembea mmoja akamwambia basi inyanyue juu km unaomba mvua jamaa anazidi kupiga kelele mikono inagusa mbingu.haahah[emoji12] [emoji12]