Ninawafahamu wawili ambao ni majirani zangu........
Wote wana matatizo ya kuwa na uhusiano na wanaume usio imara.......
Mmoja uhusiano wake na mumewe unalegalega na wanaishi kwa mazaoea tu lakini kila mtu ana-cheat kwa muda wake na mwingine anabadilisha wanaume kila mara hakai na mwanaume mmoja kwa muda mrefu................
Kweli kabisa ila wengi wao huwa hawapigi mikelelw wakati wa mambo yenu yale...wengi huishia kuguna guna tu..so inabidi mwanaume utake party ya kupiga kelele wewe
Wana hormones nyingi za kiume.
Wana hormones nyingi za kiume.
na wanaume wasio na ndevu wana homoni nyingi za kike ehee!
Wana hormones nyingi za kiume.
hapo nakataa mkuu, mbna me ninako ka kishkaji bt nina mikelele mpk najichukia!