Gardner adaiwa kumpandisha Jide kortini

Duh! Heaven on Earth ile kukuambia nikuazime tu, umetoka nduki, speed 950! Ndo maana nikakuuliza kama sio under age wewe... nisije nikapelekwa kwa pilato kutokana na makosa ya child abuse!
 
Last edited by a moderator:

ma apple
 
Pole jide/garner talaka inauma....na afadhali hamna watoto....maana hao ndio huumia zaidi nyie mnaosema garner alimpatia jide network,jide km angekuwa hajajijenga kabla ya kuolewa ningekubaliana na nyinyi, msaada wa garner ni mdogo sana almost neligble!lols km ni nyumba alikuta karibu inapauliwa/finishing...garner/jide kwenda mahakamani ni kuaibishana...you will have bitter divorce bora mngeyamaliza nyumbani!
 
Kwa hiyo tuseme Jide alikuwa selfish kiasi kwamba mambo mengi alikuwa anajilimbikizia yeye tu?

Btw: ungekuwa wewe ungefanya hivyo? Once again!!!

jide ni mwanamke mwenye kisasi sana!
 
Wanawake ni wabinafsi mnooo. Na wanaume wako biased. Mali zote ni haki bin sawa unless mliingia prenuptial agreement. Kama ni kweli wanaachana gadner ana haki sawa ya kupata nusu ya mali iliyochumwa wakati wa ndoa. Even being there for her ni contribution kwenye maendeleo ya bishosti
 
Baambiege hao... mi nashangaa hadi kare ya leo bado kuna watu wanaamini eti ni aibu kwa mwanaume kudai kugawana mali... utadhani huyo Gardner kazi yake ilikuwa ni kucheza pool na kurudi nyumbani usiku kumsubiri Jide ampe haki kitandani... yaani wala hawataki kuiona role ya Gardner katika mafanikio ya Gardner! Mwanaume anaposema kwa Gardner hiyo ni aibu wala sitashangaa coz' nafahamu hadi leo kuna wanaume wanaoamini katika mfumo dume lakini mbaya ni kwa wanawake kwani hawa ni kama wanaamini wao bado ni inferior class na kwavile bado ni inferior class ni wao ndio wenye haki ya kudai mgawanyo kwavile wao ni watu wa kupewa kupewa tu...!
 
Come on Jestina, kwa kiasi kikubwa mafanikio ya sasa yamepatikana wakiwa wote don't tell me kwamba hufahamu soko la muziki wakati ule lilikuwa vipi... by the way, tushasema si kwamba Gardner atakuwa entitled kwa kila kitu bali kile ambacho kina mkono wake! By the way, let me ask you something. Assume kwa pale walipo, Gardner angekuwa ndie mwanamuziki na huyo Jide angekuwa ndie Meneja wa Gardner! Je, unadhani Jide angekuwa na haki ya kudai mgao katika mazingira kama hayo?
 
Last edited by a moderator:
Waende kwa gwajima wakasuluhishe ndoa



Usiseme hivyo mkuu kwani wakienda kule kuna uwezekano Gwajima kumuombea Gardner na kumfanya mkewe mdogo, chezeya Mze wa mapepo feki wewe!
 
Duh! Heaven on Earth ile kukuambia nikuazime tu, umetoka nduki, speed 950! Ndo maana nikakuuliza kama sio under age wewe... nisije nikapelekwa kwa pilato kutokana na makosa ya child abuse!

Hahaaaaa mie mkubwa mwenzio.. nilikua nimelala ndio maana ukaona kimya...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ufafanuzi kidogo. Hivi ana haki ya kudai talaka au kutoa maana nijuavyo mimi wanaume huwa wanatoa talaka na sio kudai talaka.

Sheria ya ndoa anayetaka kutoka kwenye ndoa ndio anaomba talaka mahakamani kwamba mahakama ivunje ndoa husika.

Kisheria Mwanaume pia ana haki ya kuomba talaka.
 
Hahaaaaa mie mkubwa mwenzio.. nilikua nimelala ndio maana ukaona kimya...
Hahahahaaa... mwenzio nilishajenga picha jinsi nilivyokuwa nakuona umejificha uvunguni mwa kitanda... c unajua tena ukishakuwa under age... unaona dah, hapa nikifanya mchezo tu, jamaa anaweza kutokezea dirishani sasa dawa ni kula chimbo tu... hutoki!
 
Nisamehewe kama ntakua nakosea kwani jide ananini ni hicho kidigidigi evogue au nyumba ndio vinagombewa au kuna zaidi
 


Nimekukubali mkuu kwa hili tuko pamoja, G.Hbash ametengeneza mazingira makubwa kumpandisha lady Jide kufanikisha aliyonayo haya, G. kama meneja, amemtafutia masoko makubwa kwa kumtangaza kila kona pamoja na kumpa mwongozo, hakuna hajuaye kama fedha ni za Jide peke yake kwani na G. H alikuwa anafanya kazi na analipwa posho na mshahara, pamoja na hayo, wanawake wengi wanamuona G.H kama marioo wakati ana kazi yake mzuri na inauzika, G.H. alipotaka kwenda kuajiriwa kenya Jide aliweka ngumu kwa kutegemea biashara yake ingedumaa, hata hivyo G.H. anapendwa sana na media anaweza kujimudu kwa kila kitu.
 
Kwa kuongeza hapo kwenye kazi na mshahara ambapo hata mimi nilishazugumzia pia Gardner kafanya matangazo sana na to the point hata ile staili yake ya kuingiza jingles imeigwa na watu kibao hivi sasa... ambae hataki kuuona mchango wa Gardner kwa Jide basi huyo ana matatizo!
 

kweli kabisa angejua gadna angekua zake kenya sasa hivi
 

Inauma sana watu kumpamba sana Jide kama mwanamziki tajiri sana huku wakimtupa kapuni G.Habash, naamini kama naye angejitunzia tu pesa twake, angekuwa na Jumba kubwa kama la mil 60 hivi hata 40 si haba, lakini mbibi huyu kampotezea muda mrefu akimfanya kama mdondocha, mara apate kazi anasema sitaki, akikwaruzana na maboss wake wa zamani anamwambia acha kazi kama vile ile ya Cloud FM mpaka ametusababishia jahazi kukosa mvuto. Naamini pia huwa anamtungia hata nyimbo nzuri hata zile za kumuimba yeye mwenyewe zimeuzika sana.

G.Habash huko E-fm badilisha jina la jahazi uite mtumbi mwepesi tupige kipindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…