hajamuoa
Gadner acha kutuaibisha wanaume ....kudai talaka na mali kwa mwanamke?
wagawane kwa usawa ila vingine ni vya jide kwa 100% kabla hajaolewa alikuwa ameshajijenga
Uuuwiiii, Gadner,
Hivi mwanaume hujisikii vibaya kudai talaka,
Uliimbwa mwanaume kama binti kumbe ni kweli.
Komaa mwanaume upate pesa yako ndiyo heshima ya kiumeni;
si tunalilia haki sawa ndio fifty fity hiyo...... mali tunagawana
Garder na ukitombi wake ila ana part aliyoplay kwenye mafanikio ya Jide
Swahiba labda wengi hamuelewi kitu kuhusu maisha yao, ukiwa free minded utaelewa kitu. Sipendi kuwa msemaji wa Gardner lakini yuko sahihi na namuunga mkono.Duuh naona aibu mwanaume kwenda kudai mali za mke hata kama ni haki sawa ..teteteth
All the best G. Habash ulitakiwa na wewe kuwa hard worker katika utafutaji :israel:
Ni jambo la kawaida na la kisheria.Gadner acha kutuaibisha wanaume ....kudai talaka na mali kwa mwanamke?
Kwa kuongeza hapo kwenye kazi na mshahara ambapo hata mimi nilishazugumzia pia Gardner kafanya matangazo sana na to the point hata ile staili yake ya kuingiza jingles imeigwa na watu kibao hivi sasa... ambae hataki kuuona mchango wa Gardner kwa Jide basi huyo ana matatizo!
Hahahahaaa... mwenzio nilishajenga picha jinsi nilivyokuwa nakuona umejificha uvunguni mwa kitanda... c unajua tena ukishakuwa under age... unaona dah, hapa nikifanya mchezo tu, jamaa anaweza kutokezea dirishani sasa dawa ni kula chimbo tu... hutoki!
ulijuaje ni kitombi? Au alishakutafuna.
Inawezekana ilikuwa haiingii hata senti tano kwenye kapu la Jide lakini ukweli huo unathibitisha jambo moja kwamba hakuwa Mario kivile kama watu wanavyosema, hiyo moja lakini mbili, hata kama mapato yake yalikuwa hayaingii kwenye a/c ya Jide (for ya pamoja) there's no way kwamba 100% ya mapato ya Gardner Jide alikuwa hagusi... there's no way! Katika mazingira ya mtu mmoja kuwa na kipato kikubwa kuliko mwenzake, wenye busara zao huwa wanaamua mapato ya mwenza mwenye mapato madogo ndiyo yatumike for domestic use na yale makubwa kwa shughuli za maendeleo kwahiyo hata kama labda mapato ya Gardner yalikuwa hayaiingii kwenye kapu kuu bado inawezekana yalikuwa ndiyo yanatumika kwa show za home! But more importantly, sidhani kama Jide alikuwa ana-issue monthly pay check kwa Gardner kutokana na kazi yake kama Meneja na shughuli zingine kadhaa ambazo Gardener alikuwa anazifanya ifo Jide... so, kama Jide hakuwa ana-issue monthly pay check hayo ni mazingira tosha kabisa kila kilichochumwa walikuwa wanakichukulia kama ni cha wote unless proved otherwise!Mkuu hivi inawezekana Gadner kila anachochuma including mshahara wake alikuwa na pesa ya Matangazo zote alikuwa anaweka kwenye kapu la Jide? Mimi siamini kama Gadner ni Choka Mbaya watu wanavyotaka kutuaminisha
Haya mkubwa mwenzangu, once presumably as underage kid, kwahiyo wifey akijua hubby ake atatinga saa 7 ndo inakuaje? Ni kwamba anajua muda bado sana tu kwahiyo anaweza kupeleka utamu mahali pengine kv anajua hadi narudi anakuwa ameshamaliza kila kitu, au?Haaaa ndio kuanzia leo ujue mie mkubwa mwenzio...., hakuna cha kukukimbia wala nini... hapo wife anakua mida ka hii anajua husband anarudi saa 7
ndio....
Inawezekana ilikuwa haiingii hata senti tano kwenye kapu la Jide lakini ukweli huo unathibitisha jambo moja kwamba hakuwa Mario kivile kama watu wanavyosema, hiyo moja lakini mbili, hata kama mapato yake yalikuwa hayaingii kwenye a/c ya Jide (for ya pamoja) there's no way kwamba 100% ya mapato ya Gardner Jide alikuwa hagusi... there's no way! Katika mazingira ya mtu mmoja kuwa na kipato kikubwa kuliko mwenzake, wenye busara zao huwa wanaamua mapato ya mwenza mwenye mapato madogo ndiyo yatumike for domestic use na yale makubwa kwa shughuli za maendeleo kwahiyo hata kama labda mapato ya Gardner yalikuwa hayaiingii kwenye kapu kuu bado inawezekana yalikuwa ndiyo yanatumika kwa show za home! But more importantly, sidhani kama Jide alikuwa ana-issue monthly pay check kwa Gardner kutokana na kazi yake kama Meneja na shughuli zingine kadhaa ambazo Gardener alikuwa anazifanya ifo Jide... so, kama Jide hakuwa ana-issue monthly pay check hayo ni mazingira tosha kabisa kila kilichochumwa walikuwa wanakichukulia kama ni cha wote unless proved otherwise!
Mimi pia Sikubali kama Gadner alikuwa Marioo coz toka Long time alikuwa ni mchakarikaji Amekuwa mtangazaji mahiri kwa mda mrefu tu na pia amekuwa Meneja wa wasanii kadhaa tofauti na Jide ameshawahi kuwa meneja wa TID, Mr Blue, Ferooz, FA hadi hapo unaona jamaa unaona kabisa jamaa sio Marioo Sema watu wanamchukulia Marioo kwa kuwa kazidiwa Umaarufu na pengine Kipato na JideInawezekana ilikuwa haiingii hata senti tano kwenye kapu la Jide lakini ukweli huo unathibitisha jambo moja kwamba hakuwa Mario kivile kama watu wanavyosema, hiyo moja lakini mbili, hata kama mapato yake yalikuwa hayaingii kwenye a/c ya Jide (for ya pamoja) there's no way kwamba 100% ya mapato ya Gardner Jide alikuwa hagusi... there's no way! Katika mazingira ya mtu mmoja kuwa na kipato kikubwa kuliko mwenzake, wenye busara zao huwa wanaamua mapato ya mwenza mwenye mapato madogo ndiyo yatumike for domestic use na yale makubwa kwa shughuli za maendeleo kwahiyo hata kama labda mapato ya Gardner yalikuwa hayaiingii kwenye kapu kuu bado inawezekana yalikuwa ndiyo yanatumika kwa show za home! But more importantly, sidhani kama Jide alikuwa ana-issue monthly pay check kwa Gardner kutokana na kazi yake kama Meneja na shughuli zingine kadhaa ambazo Gardener alikuwa anazifanya ifo Jide... so, kama Jide hakuwa ana-issue monthly pay check hayo ni mazingira tosha kabisa kila kilichochumwa walikuwa wanakichukulia kama ni cha wote unless proved otherwise!
ndio....