Gardner upo?

Gardner upo?

Jay

New Member
Joined
Mar 25, 2008
Posts
1
Reaction score
0
Hii kali...ni kweli siku moja kabla ya ndoa gadner alilala nje ya nyumba na kimada????? Eti marlaw umewatosa masela wako baada ya kua superstaaaaaaaar sio isue babu vitu mnavyofanya kwa siri sasa hivi vinaanikwa hadharani....big up JF endeleeni hivihivi.
 
Du nayo hii. Sasa inaletwa hapa ili iweje, kusambaratisha ndoa yake au?
 
Hii kali...ni kweli siku moja kabla ya ndoa gadner alilala nje ya nyumba na kimada????? Eti marlaw umewatosa masela wako baada ya kua superstaaaaaaaar sio isue babu vitu mnavyofanya kwa siri sasa hivi vinaanikwa hadharani....big up JF endeleeni hivihivi.

Duh!
Karibu sana ila kwa mwendo huu naona kama tutastruggle sana!!!
Hii siyo ishu hata kidogo...

No comment
 
Huu sasa ni umbea live!!!!!!!!!!!!!!!!

Yatawashinda....
 
Sijui tuuite udaku,majungu au upashukuna?
 
Fikirini kabla ya kuandika, kwani ni bora ukawa mkimya kuliko kubwabwaja
 
acha upimbi, jf is for serious issues...
 
Why is this post surfacing and resurfacing again and again? If you have any beef with the gentleman, confront him!
 
Back
Top Bottom