Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Jenga hoja brother...!Funcargo jina lake tu limekaa kiajabu ajabu [emoji20][emoji20][emoji20] achana nalo bora hizo mbili hapo.
Sijawahi kuendesha hiyo kitu chief ila kwa mtazamo wangu sioni kama itafaa mbele ya hizo mbili Raum na Ist.Jenga hoja brother...!
Nimekusoma brother... I was just kidding.Sijawahi kuendesha hiyo kitu chief ila kwa mtazamo wangu sioni kama itafaa mbele ya hizo mbili Raum na Ist.
Hesabu atalaza ngapi kwa siku ili tukushauri gari yenye consumption poa.
Carina TI zaidi kuliko hizo alizotaja na bei zinakaribiana, kwa biashara ya Taxie TI ni nzuri zaidi maana ina nafasi kubwa ndani na buti pia kwa mizigo ya abiria. Shida ya TI ni kupendwa na wezi kama polisi na maandamano ya CHADEMA.IST kubwa lao asee.
Zile gari ni chuma cha reli.
Katika gari naziamini mia ya mia ni IST na CARINA TI ni mkataba asee kwa gari ndogo
Raum zipo model ya zamani na new ni gari zuri.IST ni gari zuri pia ila funcargo ni old model.Cha muhimu jua kwanza hali ya engine na ulaji wa mafuta then mengine yatafuata maana mwisho wa siku unahitaj hesabu na uber kipato ni kidogo asikudanganye mtu yeyote so unahitaj kuwa na gar inayotumia mafuta kidogo na yenye running cost kidogo hapo angalau faida utapata ila vinginevyo utaishia kuwa chizi tu!!!
Mkuu naendelea kujiamini zaidi niendeshapo haka kagari kangu carina tiIST kubwa lao asee.
Zile gari ni chuma cha reli.
Katika gari naziamini mia ya mia ni IST na CARINA TI ni mkataba asee kwa gari ndogo
hizo funcargo za cc 1000 utakuwa umetengeneza ww funcargo zimeanzia cc 1300Hapana huwezi fananisha FunCargo na Ist.
FunCargo= platz = vitz wamebadilisha body tu kila kitu kiko sawa. Engine, dashboard na zote ni cc 1000.
Ist ipo vizuri zaidi kwenye kutulia barabarani na ukubwa na engine.