Weka bei chocho za nn ndugu dalali?Hii tuna uza boss, labda unipm tukutafutie za kukodi, na dereva awe wetu.
Weka bei chocho za nn ndugu dalali?
Mkuu nimekoma ku-drive maana mitochi kama yote niliwahi ku-drive Dar-Karatu nikapigwa faini 30,000×4=120,000/=wakati wa kwenda tu. Kama Alphard itakuwa bei juu bora kukwea mabasi faini zimuangukie derevaMtumishi wa Mungu joshua_ok anamiliki isuzu bighorn kwa maelezo yake huko nyuma, na aliiagiza moja kwa moja kutoka Japan. Hiyo gari labda ni kwa ajili ya kukodi tu ili asiichoshe gari yake.