Mwita Mtu Mrefu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 739
- 1,113
Dharau iko wapi mkuu mbona povuHii nchi kuna watu wana dharau sana yaani...
Nipigie tuongee zaidi, nyumbani mwanza pia hapo Igoma mtaa wa kilimo A.Mkuu chukua M 2 Niko mwanza
Kwanini mkuuHii nchi kuna watu wana dharau sana yaani...
Ongeza 1.2 mkuuKuna 1m hapa
Nakuuzia boxer bm 150 with full document kwa hio hela.Chukua laki 8 mkuu
Haidaiwi.Gari inadaiwa kiasi gani mkuu.
Sio corolla mbonaHello Jf.
Karibu nikuuzie gari kwa bei rafiki.
Hii gari ni mali ya kanisa iko vizuri na bado nzima.
Corola 111
Mileage: 140,000
Petrol engine, engine ni nzima
Njoo na Fundi wako akusaidie ukaguzi
Bei; 2.5 million only
Location: Temeke Dar es salaam.
Call 0744033555
View attachment 1663517
View attachment 1663518
Bima imeisha, inakatwa tu nyingine bila shida.gari ina insurance? imebaki muda gani kuisha