Car4Sale Gari aina ya OPA ya mwaka 2004 inauzwa

Car4Sale Gari aina ya OPA ya mwaka 2004 inauzwa

Tokeo

Member
Joined
May 17, 2017
Posts
16
Reaction score
6
Gari aina ya OPA inauzwa kwa bei ya TZS. 8,000,000, ipo Dar es Salaam
imetengenezwa mwaka 2004, ipo katika 'good condition', inavibali vyote, engine capacity ni 1,760cc, muonekano na rangi tafadhali angalia picha.

Kwa mawasiliano nitafute katika namba hii, Sifuri Saba Moja Saba, Nne Nane Tano, Saba Sita Saba...au njoo inbox

Asante na karibuni!!
 

Attachments

  • 20170420_151325.jpg
    20170420_151325.jpg
    163.9 KB · Views: 156
  • 20170420_151354.jpg
    20170420_151354.jpg
    183.5 KB · Views: 179
  • 20170420_151408.jpg
    20170420_151408.jpg
    217.5 KB · Views: 200
  • 20170420_151429.jpg
    20170420_151429.jpg
    181.1 KB · Views: 174
  • 20170420_151523.jpg
    20170420_151523.jpg
    138 KB · Views: 116
  • 20170420_151533.jpg
    20170420_151533.jpg
    139 KB · Views: 137
  • 20170420_151618.jpg
    20170420_151618.jpg
    148.4 KB · Views: 129
  • 20170420_151645.jpg
    20170420_151645.jpg
    119.9 KB · Views: 135
Naona watu wanapita kimya kimya kula tano hapa ya haraka haraka.
 
Gari aina ya OPA inauzwa kwa bei ya TZS. 8,000,000, ipo Dar es Salaam
imetengenezwa mwaka 2004, ipo katika 'good condition', inavibali vyote, engine capacity ni 1,760cc, muonekano na rangi tafadhali angalia picha.

Kwa mawasiliano nitafute katika namba hii, Sifuri Saba Moja Saba, Nne Nane Tano, Saba Sita Saba...au njoo inbox

Asante na karibuni!!

aiseee nimecheka sana ubunifu wako mkuu.
 
Nna nne unusu. ...fasta tu ipo mfukoni wa shati.
 
Back
Top Bottom