Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam wanajukwaa.
Moja kwa moja kwenye mada, wote tunaelewa hizi gari ni ngumu sana na zinapita mahali popote.
Kwa usalama wa raia (abiria) tunaomba mamlaka husika iziangalie hizi gari pamoja na magari mengine yaliyochoka sana.
Tunajua usafiri wa DSM ni mgumu sana lakini kila siku gari hizi zinakata break na kuhatarisha maisha ya watu
Mfano wa kwanza njia ya banana, kitunda, mpaka kivule na machimbo serikali kupitia Latra angalieni kwa jicho la pili hali ya magari yaendayo huko.
Mfano wa pili; Gongo la mboto kwenda majohe kwa ngozoma, halisi hadi viwege kwa mpemba kwa kweli magari yanayoenda huko ni kudra za mwenyezi mungu tu na uzoefu wa madereva.
Naomba kuwasilisha.
Habari bila picha ni umbea, kula chuma hicho.
Moja kwa moja kwenye mada, wote tunaelewa hizi gari ni ngumu sana na zinapita mahali popote.
Kwa usalama wa raia (abiria) tunaomba mamlaka husika iziangalie hizi gari pamoja na magari mengine yaliyochoka sana.
Tunajua usafiri wa DSM ni mgumu sana lakini kila siku gari hizi zinakata break na kuhatarisha maisha ya watu
Mfano wa kwanza njia ya banana, kitunda, mpaka kivule na machimbo serikali kupitia Latra angalieni kwa jicho la pili hali ya magari yaendayo huko.
Mfano wa pili; Gongo la mboto kwenda majohe kwa ngozoma, halisi hadi viwege kwa mpemba kwa kweli magari yanayoenda huko ni kudra za mwenyezi mungu tu na uzoefu wa madereva.
Naomba kuwasilisha.
Habari bila picha ni umbea, kula chuma hicho.