Gari aina ya Toyota fortuner

FUTURE HUNTER

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
2,050
Reaction score
2,651
Jamani nimetokea kuilewa hii gari sana na nina mpango wa kutaka kuimiliki.
Naombeni wajuzi kwenye hili jukwaa mnipe abc ya haya magari.
Ulaji wake wa mafuta
Services na upatikanaji wa spare.
Gharama ya kununua mpaka nalitia mkononi.
Nitashukuru sana kwa michango yenu
 
mimi sio mtaalamu wa magari na wala similiki gari ila hii gari ni tam sana bro anamiliki fortuner ya mwaka 2017 ni bonge moja ya gari kama uchumi unaruhusu imiliki tu naamini kama unaweza kuiagiza hata mafuta hayawezi kukishinda mkuu
 
mimi sio mtaalamu wa magari na wala similiki gari ila hii gari ni tam sana bro anamiliki fortuner ya mwaka 2017 ni bonge moja ya gari kama uchumi unaruhusu imiliki tu naamini kama unaweza kuiagiza hata mafuta hayawezi kukishinda mkuu
Shukran mkuu

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 

Gari nzuri sana, mm ndo natumia 2013 model, tafuta ya diesel utaenjoy pia kama ni dereva nunua manual, ila ni garama sana hiyo gari mfano hii ya 2013 ushuru tu TRA ni 35.2m hapo bado hujanunua japan/ZA/Thailand.
 
Andaaa mkwanja mrefu, used zipo chache na zinauzwa bei ndefu, ela yako tu baba la baba, jitose kama mfuko unasomeka
 
Naipenda sana hii gari, niko mbioni kuimiliki. South Africa used zipo kwa bei nzuri, jirani yangu anamiliki ya 2017 ka-import toka Sauzi..., naendelea na kautafiti kangu kuendelea kupata info zaidi.
 
Toyota fortuner
Ford endevour

Haya magari nikiona yanakatiza moyo wangu unalia paaaa... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hapo ndipo hua najua watu tunatofautiana kwny aina ya magari ya kupenda.
 
Mapato Nchi hii ni mengi
Fanya hivyo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…