Car4Sale Gari aina ya Toyota Grande Mark II. Gx 110 inauzwa

Car4Sale Gari aina ya Toyota Grande Mark II. Gx 110 inauzwa

Ms Billionaire

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2020
Posts
2,452
Reaction score
4,955
Habari Waungwana.
Gari aina ya Toyota Grande Mark II. Gx 110 Inauzwa Ipo kimara Dar es salaam.Imechukuliwa🤝
 
Mbona kama imepaki garage....inaumwa nini?
 
Mbona kama imepaki garage....inaumwa nini?
Ila Watanzania😂 kwa kuwa kuna gari nyingine hapo basi tayari ipo garage. Gari haipo garage mwenye nayo kaipaki alipotoka kazini jana. hata ukitaka kuletewa ulipo inakuja. Akiisoma hii comment mteja mwengine si ataona gari ipo garage kweli. Anyways ndo mteja mfalme tena acha tujifanye wajinga😅
 
Ila Watanzania😂 kwa kuwa kuna gari nyingine hapo basi tayari ipo garage. Gari haipo garage mwenye nayo kaipaki alipotoka kazini jana. hata ukitaka kuletewa ulipo inakuja. Akiisoma hii comment mteja mwengine si ataona gari ipo garage kweli. Anyways ndo mteja mfalme tena acha tujifanye wajinga😅
Nimeuliza mkuu na umejibu vyema kuwa haipo garage..
 
Back
Top Bottom