Fanya UBERWakuu
Nisiwachoshe kuna gari hapa mjini iringa Voxy noah. Inaweza kufanyiwa shughuri gani ya kuingiza kipato ukiacha kupakia abiria..
Napokea mawazo yenu wakuu.
Unapakia abiria kwenye noah vox? upo siriaz mkuu?
Labda wewe ndio unasikia leo swala la Noah kupakia abiria,,, nenda mikoani uko ndio utajua
Tafuta wanaopeleka magazeti mikoani wakodishieWakuu
Nisiwachoshe kuna gari hapa mjini Iringa Voxy noah. Inaweza kufanyiwa shughuli gani ya kuingiza kipato ukiacha kupakia abiria..
Napokea mawazo yenu wakuu.