Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 637
- 1,532
Haha, mbeya hiiUsichague muonekanoView attachment 1966657
Hatari sana mzee ππVile wapigaji wanawahi pm kwa madoido kuchangamkia milioni saba za bureπππ
View attachment 1967060
Njoo nikupe escudoKama ipo ya 4m nipeni na mm
Nahitaji toyotq ya mil 4Njoo nikupe escudo
Vitara zile zilitamba miaka hiyo.
Ni nzima, nimei-park tu uani njoo uione ukiridhika ongezea 2mil hapo
Opa nachukua. Iwe imekaza tu
Mzee Extrovert sasa kama tulivyoongea , ile kemisheni yangu !! Haha jokeOpa nachukua. Iwe imekaza tu
Akileta 5.5m namuachia!
π€£π€£π€£Hatari sana mzee ππ
Ni kama tuu tuone "pisi kali"
Kama unawezana na maintanance ya subaru foreater turbo nikupatieHabari wana Jamii,
Nahitaji kununua gari, kwa bajeti ya milioni 7, Ni aina zipi za magari ambazo naweza kupata zikiwa katika hali nzuri?
Karibuni..
Picha?Njoo nikupe escudo
Vitara zile zilitamba miaka hiyo.
Ni nzima, nimei-park tu uani njoo uione ukiridhika ongezea 2mil hapo
Niliweka humuPicha?