gari gani....

gari gani....

Jestina

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
4,828
Reaction score
1,712
inafaa kwa biashara ya Taxi na shilingi ngapi???

na pia naombeni input zenu,prons and cons za kuifanya hii biashara mie nataka kujikita uko.....
 
inafaa kwa biashara ya Taxi na shilingi ngapi???

na pia naombeni input zenu,prons and cons za kuifanya hii biashara mie nataka kujikita uko.....

Kuna cons tu hakuna pros. Mtajirishe dereva. Haya ni mawazo yangu tu
 
Siku hizi ni bodaboda tu. Watu wachache sana wanapanda tax!
 
Daladala + Taxi + Bajaj + Bodaboda = BP + Diabetes + Cardiovascular Deseases = Untimely Death
 
Biashara ngumu sana especially kama wewe ni mdada!
 
Back
Top Bottom