Gari imegoma kuwaka, abiria akaomba kushuka

Gari imegoma kuwaka, abiria akaomba kushuka

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
368
Reaction score
556
Wasalaam

Nilipata nafasi ya kusafiri na abiria wangu, tumepumzika kituo cha kwanza nataka kuwasha gari tuendelee na safari kukidhi ombi la abiria wangu, gari ikagoma[emoji20] Tukagusanisha nyaya zote wapi hata cheche hamna.

Hali hii iliniacha kwenye fedheha na simanzi, japo abiria wangu aliomba kushuka huku akijitahidi kukwepa kunilaumu dereva wake, nadhani alinihurumia pia, na kuniambia nisihofu tutapata wasaa mwingine wa kusafiri tena, lakini hali hii imeniumiza sana gari limekuja kuwaka asubuhi nikiwa peke angu.

Wasafiri wenzangu naomba mawazo yenu. Mnatumia njia gani kuwasha gari na kuwaka punde tu mnapokua mlilizima kwa mapumziko ya muda mfupi.

Asanteni naomba kuwasilisha

Pia soma: Mrejesho: Gari liliwaka sijasimama sehemu...abiria analalamika
 
Mwongozo ni kwamba, hakikisha gari liko salama kabla hujaanza safari yeyote..na wakati mwingine hofu huleta hizi shida wakati mlipolizima kwa mapumziko ya muda mfupi, mara unajiuliza uliendesha vizuri awamu ya kwanza au ndo udereva wako ulikuwa mbovu. Jaribu kujiamini kwanza

Teh teh nimecheka lakini, asante kwa kuweka kicheko kwenye maisha yangu leo.
 
Usikute wakati unakula kipupwe ukakumbuka wanaokudai, ukatoka mchezoni.

Kama ni mara ya kwanza gari kuzingua usijipe stress chukulia easy
Hahahahaha vikoba kwani wanaume wanavyo? Au madeni gani jamani

Teh hteh mbavu zangu
 
mwongozo ni kwamba, hakikisha gari liko salama kabla hujaanza safari yeyote..na wakati mwingine hofu huleta hizi shida wakati mlipolizima kwa mapumziko ya muda mfupi,,,mara unajiuliza uliendesha vizuri awamu ya kwanza au ndo udereva wako ulikuwa mbovu. Jaribu kujiamini kwanza

teh teh nimecheka lakini ,,,asante kwa kuweka kicheko kwenye maisha yangu leo
Asante mkuu...kweli nimefadhaika
 
Usikute wakati unakula kipupwe ukakumbuka wanaokudai, ukatoka mchezoni.

Kama ni mara ya kwanza gari kuzingua usijipe stress chukulia easy
Yeah ni mara ya kwanza...lakini abiria huyu tumekua tikikaa sana kituo cha kwanza huwezi hata kulala kabla ya kuanza safari tena... Jana kaming'ang'ania anataka kufika haraka huko aendako.
 
Asante mkuu...kweli nimefadhaika
Pole sana mkuu, jaribu kutuliza mawazo mkuu na usifadhaike, kama ni mara ya kwanza kumpa lifti huyo abiria jaribu kuwa normal tu, otherwise uniambie ilisharudia tena mara nyingine kwa abiria mwingine.
 
yeah ni mara ya kwanza...lakini abiria huyu tumekua tikikaa sana kituo cha kwanza huweza hata kulala kabla ya kuanza safari tena...jana kaming'ang'ania anataka kufika haraka huko aendako
Nimecheka kwa nguvu, ungemwambia gari haina mafuta ya kutosha, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii my ribs
 
Huwa inatokea kama abiria uliyenaye hajakuvutia, na pengine wakati unaendesha gari kuna vitu au harufu ya mafuta yanayoungua yalikutoa mood ya kuendesha gari.
Ni kweli lakini huyu abiria wangu kusema kweli kila kitu mashallah...msafi..mzuri anavutia na mcheshi pia...na safarini huimba hata nyimbo kuonesha kufurahia safari... Hii hali ya jana imenifedhehesha
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huu uzi umejua kunichekesha jaman halafu nilipo kelele haziruhusiwi watu wote kimyaaaa wananiangalia mimi ambavyo mbavu sina.

Haya magari muwe mnayapiga service baada ya kutembea mwendo flani. Hata kama halitembei pia service ni muhimu atii
 
pole sana mkuu, jaribu kutuliza mawazo mkuu na usifadhaike,,kama ni mara ya kwanza kumpa lifti huyo abiria jaribu kuwa normal tu, otherwise uniambie ilisharudia tena mara nyingine kwa abiria mwingine.
Hapana mkuu...huwa nina taratibu ya kukaa sana mapumziko kabla ya safari...huko nyuma nolikuwa naweza kupita kituo kimoja bila kusimama...au ningesimama dakika chache tuu kuchukua maji...tena mimi na abiria tukiwa garini
 
Back
Top Bottom