Gari imekataa kuwaka

jonas255

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
225
Reaction score
110
Wakuu habari zenu,

Gari langu juzi nimeshusha giabox kwenda kuziba palipotoboka, baada ya kurudisha giabox gari imegoma kuwaka.Ikiwashwa injini inazunguka ila inakataa kuchanganya. Nimejaribu kuboost battery na kuwasha kwa kutumia battery ya gari nyingine lakini injini imekataa kuchanganya.

Naombeni msaada wenu nini tatizo? Maana mafundi niliowapa wanazidi kunitoza fedha tu. Matatizo hayaishi tatizo likipona linakuja tatizo lingine.
 
Kafanyie diagnosis. Kuna sababu 100s zinasosababisha gari isiwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…