Gari imerudi kuwa mpya kabisa

Gari imerudi kuwa mpya kabisa

Hardlife

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2021
Posts
2,758
Reaction score
6,299
Nina gari ndogo Toyota Engine 1ZZ VVTi kuanzia 2021 August ilikuwa ikinisumbua sana. Engine ilikuwa ni full kelele ukiwasha, ukikanyaga mafuta kidogo tu ni krrarrrrrrr kama zote.

Niliisha peleka kwa mafundi 3 tofauti but tatizo likawa linazidi. Fundi wa mwisho akaniambia itakuwa inafanya kazi but itakukera tu utabidi uvumilie tu. Nimeenda nayo hivyo zaidi ya miezi mi 4. Kula mafuta sana, inamaliza oil sana, kelele kwa engine, yaani hakuna raha kabisa.

Kuna jamaa yangu yeye anaye fundi wake sasa kuna siku akawa anamsifia sana ikabidi nimuombe anipatie namba zake. Baada ya kumuona jamaa akaichukua na kuifanyia uchunguzi wa kina.

Gari imetengenezwa imerudi kama imetoka Japani. Testing zote tayari. Sasa hapa nataka nianze safari nione itakuwaje. Ila matengenezo yanahitaji pesa aisee maana vitu vingi vimenunuliwa vipya.

Hapa nina amani sana.
 
Nina gari ndogo Toyota Engine 1ZZ VVTi kuanzia 2021 August ilikuwa ikinisumbua sana. Engine ilikuwa ni full kelele ukiwasha, ukikanyaga mafuta kidogo tu ni krrarrrrrrr kama zote.

Niliisha peleka kwa mafundi 3 tofauti but tatizo likawa linazidi. Fundi wa mwisho akaniambia itakuwa inafanya kazi but itakukera tu utabidi uvumilie tu. Nimeenda nayo hivyo zaidi ya miezi mi 4. Kula mafuta sana, inamaliza oil sana, kelele kwa engine, yaani hakuna raha kabisa.

Kuna jamaa yangu yeye anaye fundi wake sasa kuna siku akawa anamsifia sana ikabidi nimuombe anipatie namba zake. Baada ya kumuona jamaa akaichukua na kuifanyia uchunguzi wa kina.

Gari imetengenezwa imerudi kama imetoka Japani. Testing zote tayari. Sasa hapa nataka nianze safari nione itakuwaje. Ila matengenezo yanahitaji pesa aisee maana vitu vingi vimenunuliwa vipya.

Hapa nina amani sana.
Hii itakuwa bmw au vw tu
 
Nina gari ndogo Toyota Engine 1ZZ VVTi kuanzia 2021 August ilikuwa ikinisumbua sana. Engine ilikuwa ni full kelele ukiwasha, ukikanyaga mafuta kidogo tu ni krrarrrrrrr kama zote.

Niliisha peleka kwa mafundi 3 tofauti but tatizo likawa linazidi. Fundi wa mwisho akaniambia itakuwa inafanya kazi but itakukera tu utabidi uvumilie tu. Nimeenda nayo hivyo zaidi ya miezi mi 4. Kula mafuta sana, inamaliza oil sana, kelele kwa engine, yaani hakuna raha kabisa.

Kuna jamaa yangu yeye anaye fundi wake sasa kuna siku akawa anamsifia sana ikabidi nimuombe anipatie namba zake. Baada ya kumuona jamaa akaichukua na kuifanyia uchunguzi wa kina.

Gari imetengenezwa imerudi kama imetoka Japani. Testing zote tayari. Sasa hapa nataka nianze safari nione itakuwaje. Ila matengenezo yanahitaji pesa aisee maana vitu vingi vimenunuliwa vipya.

Hapa nina amani sana.
Hii itakuwa toyota opa
 
Promo [emoji16]
Sawa. Mie nasema hivyo kwakuwa najua watu wanaumizwa sana. Huyu Fundi kwanza hana tamaa kabisa halafu gharama zake ni ndogo sana. Kiukweli nimemkubali sana. Leo ilikuwa siku ya testing tu. Aisee
 
Kataa kubali hii ni promo miksa tangazo la biashara
Mie nimesema kilichonitokea. Sijaweka namba ya simu ya mtu wala nini But sikatazwi kumsifia mtu pale anapofanya vizuri.
Hapo niliahangaika tangu 2021 August kutafuta fundi. Kila fundi niliyekuwa nampata ni magumashi tu.
 
Mie nimesema kilichonitokea. Sijaweka namba ya simu ya mtu wala nini But sikatazwi kumsifia mtu pale anapofanya vizuri.
Hapo niliahangaika tangu 2021 August kutafuta fundi. Kila fundi niliyekuwa nampata ni magumashi tu.
Aliifanyia overhaul ama? sababu ni nyingi za injini kupiga kelele ikiwamo oil kutokupanda inavyostahili kwa engine ama hata septrin belt kuchoka,
 
Back
Top Bottom