AsanteVitz,ist,passo,spacio,raum....
OvA
Soma #5Wakuu nasubiri michango yenu
Mkuu mteja anachagua, ukisha confirm uber, dereva na aina ya gari yake inatokeza pale, sasa wengine wakikuta vits au passo wana cancel.Kama nakumbuka vizuri mteja huwa hachagui gari huwa anaunganishwa na dereva aliye karibu naye
#5 ni post yanguSoma #5
Umenikumbusha mbal enz izo napiga uber. Nilikua na kitu cha Nissan wingroad. Full kuachiwa nambaMkuu mteja anachagua, ukisha confirm uber, dereva na aina ya gari yake inatokeza pale, sasa wengine wakikuta vits au passo wana cancel.
Afu ukiwa na gari nzuri wengine nasikia uhifadhi mawasiliano yako wanakutafuta private. Sasa sijajua list ipi ya magar hupendwa
OK,basi nadhani IST itafaa zaidiMkuu mteja anachagua, ukisha confirm uber, dereva na aina ya gari yake inatokeza pale, sasa wengine wakikuta vits au passo wana cancel.
Afu ukiwa na gari nzuri wengine nasikia uhifadhi mawasiliano yako wanakutafuta private. Sasa sijajua list ipi ya magar hupendwa
Hv ina ela mkuu, au kelele za watu?Umenikumbusha mbal enz izo napiga uber. Nilikua na kitu cha Nissan wingroad. Full kuachiwa namba
Atajuaje kama ni safi wkt haijafika?Wapo wateja vichom et kama ingekuja gari mbaya nngecancel. Sema nafkr gar ikiwa kwenye usaf mteja hawez ku cancel
Unachagua vizuri tu usitake kudanganya watu,hata ukitaka Range Rover litakuja! Uber kuna gari nyingi sana tatizo nyie mmezoea kupanda ist,uber zipo mpaka Range Rover,Alphard, kwa ajili ya harusi na pia escort mfano kutoka airport kwenda hotelini,na zinakuwa kwenye msafara una king'ora cha polisi.Kama nakumbuka vizuri mteja huwa hachagui gari huwa anaunganishwa na dereva aliye karibu naye
Sikutaka kudanganya mkuu,ndio maana nilitumia sentence'kama nakumbuka vizuri'Unachagua vizuri tu usitake kudanganya watu,hata ukitaka Range Rover litakuja! Uber kuna gari nyingi sana tatizo nyie mmezoea kupanda ist,uber zipo mpaka Range Rover,Alphard, kwa ajili ya harusi na pia escort mfano kutoka airport kwenda hotelini,na zinakuwa kwenye msafara una king'ora cha polisi.
Thread closed!Kama nakumbuka vizuri mteja huwa hachagui gari huwa anaunganishwa na dereva aliye karibu naye
KimulimuliWakuu, nataka nichukue kindika cha kufanyia Uber niachane na ajira hizi za manyanyaso.
Nataka kujua kwanza wateja wengi wanapenda au kuwa comfortable na gari ipi wanapotaka kutumia Uber.
Nataka gari hizi ndogo chini ya CC 1500.
Je we huwa unapenda Ukiita Uber ije gari gani?
[emoji595] [emoji595] [emoji595] [emoji595] [emoji595] [emoji594] [emoji595] [emoji595]