Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
What about this one buddy, Toyota CenturyIle ni Benz, si Toyota.
Natafuta gari la maana. Ambalo hako ka kwako hakanusi.
Vinginevyo, I will opt not to dream of a Toyota car.
Ndio. SA , Botswana na Namibia hizo ni 8 valve engineHuko yapo mengi et
Je, gari lako la Toyota ni lipi unalolipenda zaidi?
Penda magari kibwengo ila nakushauri usipande kupanda uberDaslam ni jua kali, hata ungekua huku ungejikuta tu unapenda magari😂
Depal
Mmmh hii chuma bei yake ya moto Sana
DuuuhNdio. SA , Botswana na Namibia hizo ni 8 valve engine
Hivi hii mpkaa mkononi bei gani?
Mnyama huu apa
Hicho hapo kirikuu chako kimepaki Tabata Mwananchi karibu na Msikitinitoyota kirikuu
Je, gari lako la Toyota ni lipi unalolipenda zaidi?