Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Huu unyama ukifika bongo wenye crown lazma watazitupa tu 🤣
Tuseme inshaallah, mishahara ya miezi kadhaa tu unanunuavitz clavia 😂😂
Me nahisi shida ni running cost.. namba D kisu si unaweza mvua mtu hata kwa 5-6M. Unakula dagaa mwaka mmoja tu 🤣🤣🤣 unaanza route za sheliTuseme inshaallah, mishahara ya miezi kadhaa tu unanunua
🤣 hakana bei sana ni 600-650 humo unajibebea D safiMe nahisi shida ni running cost.. namba D kisu si unaweza mvua mtu hata kwa 5-6M. Unakula dagaa mwaka mmoja tu 🤣🤣🤣 unaanza route za sheli
Kuna rafiki angu alikuwa nayo akaiuza kwa 4.5M hivi nadhani, sikumbuki vizuri.
Hahaha🤣 hakana bei sana ni 600-650 humo unajibebea D safi
Kuagiza andaa 11MHahaha
Hatariii
Na kukaagiza mpaka kafike mkononi?
BMW z4 iliyovalisha u-toyota mkuu.
Crown Royal Saloon
View attachment 2772024
Majesta
View attachment 2772017
Land Cruiser
View attachment 2772029
🤣Chuga wanaziita Land Cruiser masaai. Zina balaa kama kaka yake 105 series
Tesla nayo imekua Toyota tangu lini?Tesla Model X Plaid [emoji7][emoji7]View attachment 2772484View attachment 2772483View attachment 2772482
Bora kufika🤣Kwenye haka kadunguri hua nasikia wanaingia wamechuchumaa[emoji1]