Hili lina zaidi ya 100,000 kmMkuu, bora uchukue hii ya 2005. CIF yake iko chini na ushuru pia. You will end up paying like 28M.
Ile ya kwako ya 2011 you will end up paying like 36M. Naona kama utajiumiza just for a small difference.
check this out
BE FORWARD : 2008 TOYOTA Vanguard
That is not a problem at all... Hizi gari zimetengenezwa kutembea vizuri tu hadi zifike Km laki mbili. By the way gari za Toyota ni imara na zina spea nyingi...Hili lina zaidi ya 100,000 km
Unamshauri mtu ipi kati ya Toyota Avensis na Premio?That is not a problem at all... Hizi gari zimetengenezwa kutembea vizuri tu hadi zifike Km laki mbili. By the way gari za Toyota ni imara na zina spea nyingi...
BE FORWARD : 2008 TOYOTA Vanguard
Jingine pia hilo anaweza akachek. Tunachoangalia a total cost ya kununua ile ya 2011 ni karibu M36,hiz za 2008 ni karibu M28. So atakuwa ameokoa kama M8 hivi for a same car.
Bora Premio. Premio ina injini ndogo lakini yenye nguvu, iko fuel efficient, ina muonekano mzuri zaidi na hata kuiuza inauzika kiurahis zaidi...Unamshauri mtu ipi kati ya Toyota Avensis na Premio?