Gari ku-knock injini

jonas255

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
225
Reaction score
110
Wadau vipi,

Gari langu lilitoboka gia box sasa imeenda kuzibwa gari haiwaki kila ikipigwa stata haiwaki betri ipo poa.

Naombeni ushauri wenu tatizo linaweza kuwa ni nini? Kuna fundi wa wiring amenitisha kasema eti injini inaweza ikawa imenok.

Je injini inaweza kunok kama gari haitembei au kama gari imeshushwa gia box?
 
Ni kweli gari inaweza kunock baaada engine kuzimwa na kupoa au knock wakati inafanya kazi, itategemea ukubwa wa tatizo.
 
Ni kweli gari inaweza kunock baaada engine kuzimwa na kupoa au knock wakati inafanya kazi, itategemea ukubwa wa tatizo.
Kaka gari ilizimwa ili kuziba giabox tu lakini haikutembea barabarani ili washwa na imebadilishiwa giabox ikiwa hapo hapo...
 
Cha kushangaza ni baada ya kuiziba giabox na kujaribu kuiwasha imekataa kabisa kuwaka...
 
Nunua engine nyingine kuepuka hayi yote. Kuna gari ilipata ajari ikiwa imepaki
 
Kwan waliziba kwa kutumia Gas au Arc welding......? Kama n Arc welding bas inawezekana hawaku disconect battery terminator. Hii inapelekea Control box pamoja na baadhi ya Sensor kwenye Engine kumake short circuit, Wakati mwingne hata Battery kubast. Ushaur tafuta Auto electrician mkal afanye hyo kaz co hao wa kubahatisha.
 
ndo nyie mpaka mumuone fundi gari liwechali.fanya kila utaratibu kila mwezi kuangalia gari lako
 
Unachanganya maneno,
Kwa sisi mafundi tunashindwa kukuelewa
Eti gari yangu ime knock
Unajua maana ya neno kuknock, kwa lugha ya kifundi?
haya njoo hapa nikufundishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…