babkaju3
Senior Member
- Mar 9, 2015
- 118
- 94
Habari wa jamii naomba kufahamu kuhusu gari kudondosha maji kwenye bomba la moshi haswa asubuhi nikisha iwasha ila baada ya saa 1 inakata hii inatokana na nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app