Gari kugonga gonga

Teremaro

Member
Joined
Mar 18, 2022
Posts
29
Reaction score
26
Habari ndugu WanajamiiForums,

Nina gari aina ya nissan duals ya mwaka 2011 nikipita kwenya mashimo nackia kama ingonga gonga kwa mbalii naomben anayeweza kujua tatzo itakuwa ni nini kabla cjaenda kwa fundi
 
Nmeinunua January mwaka huu ila siendeshi mara kwa mara
 
Ndugu zangu habari za leo, nlienda kwa fundi kuchek hili tatzo la kugonga gonga ila wakaniambia itakuwa tyrod end so tukabadilisha ila tatzo likaendelea vile vile, nikawauliza au ni shock up? Wakasema huo mlio sio wa shock up, sasa hvi wameniambia inabidi wafungue kifua kuchek Bush, sasa nmerud kwenu tena Je itakuwa ni Bush kweli ama kitu.kingine? Wasije kuniharbia gari yangu.
 
Peleka gari kwa fundi ndugu Acha kupeleka gari kwa waziba pancha watakuharibia gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…