Gari kulipishwa tozo za maegesho wanasheria walipaswa kuishitaki serikali mahakaman ni utapeli

Gari kulipishwa tozo za maegesho wanasheria walipaswa kuishitaki serikali mahakaman ni utapeli

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Baadhi ya sheria zimekaa kikoloni!

Pamoja na pesa ya maegesho mijini kuwa ni kidogo lakini inakera!

Kama serikali inachukua kodi ya barabara kupitia motor vehicle license!
Haikupaswa kuchaji tena kodi nyingine kwa jambo lilelile!

Gari lazima itembee barabarani na lazima ipaki!
Sasa unapochukua kodi ya barabara then unachukua na ya parking kwa akili ya kawaida Mlitaka magari yakapaki porini?

Napinga sana hii kodi ya maegesho kuendelea kutozwa nashauri nchi hii kama inawanasheria wakfungue shauri mahakamani!

vinginevyo kama ilivyo chama cha magari ya abiria (TABOA) basi naomba kiundwe chama Kingine cha magari binafsi (Tanzania private car's association (Tapca) ili kiweze kuwasemea wenye magari binafsi kwani wanazo kero nyingi sana na hawana mtetezi!
 
Inakera sana... Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Sasa ulitaka u-park bure?

Barabara unalipia

Maegesho ni kitu kingine, na utalipia hakuna namna.

Cha msingi elewana na yule mtoza ushuru na siyo kumfokea.

Nimefanya hii kazi. Wenye private cars mna jeuri sana. Kuweni na hela basi halafu muwe wastaarabu, wala hakutakuwa na shida
 
Baadhi ya sheria zimekaa kikoloni!

Pamoja na pesa ya maegesho mijini kuwa ni kidogo lakini inakera!

Kama serikali inachukua kodi ya barabara kupitia motor vehicle license!
Haikupaswa kuchaji tena kodi nyingine kwa jambo lilelile!

Gari lazima itembee barabarani na lazima ipaki!
Sasa unapochukua kodi ya barabara then unachukua na ya parking kwa akili ya kawaida Mlitaka magari yakapaki porini?

Napinga sana hii kodi ya maegesho kuendelea kutozwa nashauri nchi hii kama inawanasheria wakfungue shauri mahakamani!

vinginevyo kama ilivyo chama cha magari ya abiria (TABOA) basi naomba kiundwe chama Kingine cha magari binafsi (Tanzania private car's association (Tapca) ili kiweze kuwasemea wenye magari binafsi kwani wanazo kero nyingi sana na hawana mtetezi!
Serikali imeshakufa. Failed state.

Nchi hii Sasa hivi ni michongo lobbying, wizi utapeli, dhulma na connection.

Sasa hivi kila kitaasisi kinakusanya mapato yake kwaajili ya matumizi yake.

Ndio maana TRA, Wana mambo yao, TBS Wana mambo yao, Halmashauri zina mambo yao.

Hao wanaokusanya pesa za maegesho ni TARURA na wao Wana mambo ya mambo yao. Serikali kuu huko kwa Rais, na wao wanakula za TRA.

  • Pesa za TRA, kugharamia anasa za Wanasiasa na kulipa madeni.
  • Vijimiradi vya kutafuta kura, tozo za Mafuta na simu
  • Pesa za miradi mikubwa (SGR, Bwawa la umeme na Barabara) mikopo ya nje.
  • Pesa za kugharamia afya nu misaada ya wahisani.
 
Serikali imeshakufa. Failed state.

Nchi hii Sasa hivi ni michongo lobbying, wizi utapeli, dhulma na connection.

Sasa hivi kila kitaasisi kinakusanya mapato yake kwaajili ya matumizi yake.

Ndio maana TRA, Wana mambo yao, TBS Wana mambo yao, Halmashauri zina mambo yao.

Hao wanaokusanya pesa za maegesho ni TARURA na wao Wana mambo ya mambo yao. Serikali kuu huko kwa Rais, na wao wanakula za TRA.

  • Pesa za TRA, kugharamia anasa za Wanasiasa na kulipa madeni.
  • Vijimiradi vya kutafuta kura, tozo za Mafuta na simu
  • Pesa za miradi mikubwa (SGR, Bwawa la umeme na Barabara) mikopo ya nje.
  • Pesa za kugharamia afya nu misaada ya wahisani.
Nimekuelewa
 
Back
Top Bottom