Gari kunguruma sana

Kawaida,hata Mimi Nina Carina si 7A,ina shida hiyo lkn hainisumbui,
Wewe Mkuu unaisikiaje ulipoichukua na sasa unawezaje itofautisha?
 
Mkuu peleka gari shimomi ukacheki ekisosi yaweza kuwa kuna sehemu imelika pia ucheki na shanga.
 
Mkuu kama unaskia mlio kama mluzi ukiwa kwenye rpm kubwa possibly ni fan belts au waterpump imeanza kuchoka but kama in mngurumo unaotokana na engine cheki mounting hasa bolts za upande wa kulia upande wa chini..but kama mngurumo unatokana na vibration ya bodi na usukani unayumba cheki wheel balance mzee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…