GARI KUPATA JOTO KWENYE INJINI

GARI KUPATA JOTO KWENYE INJINI

Machaare

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2022
Posts
821
Reaction score
2,021
Wakuu gari yangu aina ya IST inapata joto sana hata nikitembea umbali wa kawaida usiozidi km 05. Nikiangalia mshale wa temperature upo kawaida tu.Tatizo nikishika dashbodi ya mbele inakuwa na joto kali sana tatizo nn apo wakuu?Gari haishemshi kabisa
 
Wakuu gari yangu aina ya IST inapata joto sana hata nikitembea umbali wa kawaida usiozidi km 05. Nikiangalia mshale wa temperature upo kawaida tu.Tatizo nikishika dashbodi ya mbele inakuwa na joto kali sana tatizo nn apo wakuu?Gari haishemshi kabisa
Bado kidogo italipuka, used car are not good
 
Unapo anza kufanya safari ndefu na hizi gari ndogo hasa hizi zenye cc chini ya 1300 kama kei, vitz, ist, paso nk mnazi sababishia engines zake kua na Stress nyingi na kupunguza maisha ya gari...
 
NENDA KWA FUNDI AKUFANYIE DIAGNOSTICS,

Halafu Mshale wa IST wa temperature mnautoa wapi ? mimi kwenye IST najua kuna light mbili Blue ikiwa na cold engine na Red ikiwa na hot engine, ikiwa optimum kuna kua hakuna light yoyote ya temperature.
 
Mshale wa IST wa temperature mnautoa wapi ? mimi kwenye IST najua kuna light mbili Blue ikiwa na cold engine na Red ikiwa na hot engine, ikiwa optimum kuna kua hakuna light yoyote ya temperature.
Haiwashi taa nyekundu inakuwa kawaida ila dashbodi sasa joto kali sana
 
Haiwashi taa nyekundu inakuwa kawaida ila dashbodi sasa joto kali sana
Nenda kwa wataalamu wasome taarifa kutoka kwenye Onboard computer ya gari yako, sometimes unakuta hizi gari zimechezewa....
 
Back
Top Bottom