Gari kushindwa kupanda milima

Gari kushindwa kupanda milima

Lwekamwa

New Member
Joined
Mar 18, 2018
Posts
2
Reaction score
2
Habari wana JF, nimekuwa nikitumia gari hili(Toyota vitz old model) kwa mda wa miaka4 sasa hata hivyo hivi karibuni limepatwa na tatizo ambalo kimsingi linanichanganya. >>KUSHINDWA KUPANDA MLIMA.

Aidha tatizo hili lilianza gafla ambapo nililipeleka kwa fundi na kukuta valvi moja ya imekatika, ilibadilishwa laki bado tatizo liko pale pale hivyo nashindwa kuelewa kabisa tatizo ni nini kwani ni mala ya kwanza tatizo hili linajitokeza naombeni ushauri wenu tafadhali ili niweze kufahamu ni wapi pamoja kuanzia tena ili kuepuka kuingia galama za manunuzi ya vipuli hata visivyo husika.
 
Ndugu pressure nyingne mnajitakia unakuta hiyo gari umenunua used kutoka KWA mtu na saiv BADO umekaa nalo miaka 4 Sasa hapo unategemea nn Lazima Hata gari izire imechoka

Epuka kutumia gari muda mrefu Sana nunua tumia mwaka au miwil uza nunua yenye unafuu kidogo maisha yaendelee
 
Kazibue hiyo eksozi... haipumui vizuri pale engine inapokuwa kwenye kilima kizito.

'Katalyt konveta' hiyo imejaa na kuziba (masega)... sijuwi ndo inaitwa hivyo. Subiri wataalamu watanyosha lugha vizuri. 😎

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom