GARI KUWA NA MIS.

GARI KUWA NA MIS.

swamila

Senior Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
176
Reaction score
81
Wanandugu naomba msaada nini hasa kinapelekea gari kuwa na mis. Fundi wangu kaniambia nimebadili plug nimebadili petrol filter lkn mis bado imo tena ya ukweli.
 
Polee mkuu kwa kawaida misfire inasabishwa na spark plugs ambzo umebdlsha pia cables za moto zinazopeleka kwenye plug mojawapo inaweza kua na shda ila mara chache sana zikawa zote pia rotor inaweza ikawa na carbon itabd isafishwe na msasa ambpo mafund weng wanafanya hvyo pia uwiano mbaya kati ya mafuta na hewa ambapo ina weza sababishwa na Valve zilzokwisha au kufunguliwa, kuvuja kwa mafuta ktk injectors, airfilter kua chafu, pampu ya mafuta kutopandisha mafuta vzr au fuel filter kua chafu. Pia wiring system inaweza kua na shida, pia kuvunjika kwa pistoni au mfumo unaoambatana na piston,baridi kupita kiasi kutokana na gaskets kuisha nk ila ni vizuri kuanza na vi2 vdg vdg then ndo uchek vikubwa coz mafundi we2 c unawajua? Km tatzo lnazd jarbu kuchek kwa kompyuta.
 
Polee mkuu kwa kawaida misfire inasabishwa na spark plugs ambzo umebdlsha pia cables za moto zinazopeleka kwenye plug mojawapo inaweza kua na shda ila mara chache sana zikawa zote pia rotor inaweza ikawa na carbon itabd isafishwe na msasa ambpo mafund weng wanafanya hvyo pia uwiano mbaya kati ya mafuta na hewa ambapo ina weza sababishwa na Valve zilzokwisha au kufunguliwa, kuvuja kwa mafuta ktk injectors, airfilter kua chafu, pampu ya mafuta kutopandisha mafuta vzr au fuel filter kua chafu. Pia wiring system inaweza kua na shida, pia kuvunjika kwa pistoni au mfumo unaoambatana na piston,baridi kupita kiasi kutokana na gaskets kuisha nk ila ni vizuri kuanza na vi2 vdg vdg then ndo uchek vikubwa coz mafundi we2 c unawajua? Km tatzo lnazd jarbu kuchek kwa kompyuta.
Mkuu we engner nin???.....
 
Gari ya aina gani?Inatumia mfumo wa 'Air mass??'.Kama ndiyo basi mwambie akague hiyo kitu.Mm nje ya Mada kidogo natafuta gereji nzuri ya kupaka rangi Dar.Kwa anayeifahamu anifahamishe please.
 
Back
Top Bottom