Master C mimd
Member
- Sep 26, 2019
- 46
- 55
Habarini wana jamvi
Katika mihangaiko yangu leo asbhi niko na drive mara kwenye dashboard taa ya AT OIL TEMP ikawaka (ilitoke baada ya kuweka sport mode kipindi na overtake). Nikawasiliana na fundi nikaipeleka gari sehemu husika, wakabadili oil ya gearbox na pia kuna kifaa walikifanyia usafi pia.
Sasa baada ya wao kumalizi nikaichukua ndinga yangu kuendelea na mizunguko yangu kitu nilichoona cha tofauti ni kuwa nikiweka D tu gari inaanza kutembea kwa speed ambapo ni tofauti na mwanzo, nimejaribu kuwasilian na fundi amesema ni kawaida hiyo hali maan ndivyo gari inavyotakiwa kuwa
Nimekuja kuomba ujuzi na mawazo zaidi, je fundi yuko sahihi? Au kuna sehemu tena itakuwa iliguswa? (Car type ,Subaru impeza 2009)
Katika mihangaiko yangu leo asbhi niko na drive mara kwenye dashboard taa ya AT OIL TEMP ikawaka (ilitoke baada ya kuweka sport mode kipindi na overtake). Nikawasiliana na fundi nikaipeleka gari sehemu husika, wakabadili oil ya gearbox na pia kuna kifaa walikifanyia usafi pia.
Sasa baada ya wao kumalizi nikaichukua ndinga yangu kuendelea na mizunguko yangu kitu nilichoona cha tofauti ni kuwa nikiweka D tu gari inaanza kutembea kwa speed ambapo ni tofauti na mwanzo, nimejaribu kuwasilian na fundi amesema ni kawaida hiyo hali maan ndivyo gari inavyotakiwa kuwa
Nimekuja kuomba ujuzi na mawazo zaidi, je fundi yuko sahihi? Au kuna sehemu tena itakuwa iliguswa? (Car type ,Subaru impeza 2009)