Habari Kamili Hii Hapa.
Siku moja kabla ya Kukamatwa kwa Bw lema mgombea Arusha mjini, Jana yake vijana kazi wa Chadema ambao wamepagwa mji mzima kuhakikisha bibie tmoa rushwa batilda hagawi fedha maana vyombo vya takukuru na polisi wanamsaidia na ukiwaita hawana msaada. Vijana kazi walishika gari ya Ikulu ikiwa na number kwenye vioo tofauti na plate number. Wakampiga sana driver akasema kila kitu ametumwa yy ni raia mwema. ikavunjwa vioo police wakaja na kufyatua mabomu wakaipeleka kituoni.
Cha kushangaza wakakataa kusearch na kuitolea habari zozote kila mtu alikuwa anaikimbia ikawekewa ulinzi mkali hadi kwa wanahabari. Lema akaenda press conference akamwaga.
SS kilichofuata. Ikatoka oda kumfuatilia ili kumtafutia kosa. Huwezi amin siku alioshikwa RCO alikuwa kwnyw mkutano wake kajibanza mahali na vijana wa kutosha. mkutano umeisha lema kaondoka na gari si unajua Jimbo kashalichukua tayari vijana mzuka msafara kama kawa wanaimba Mbunge, Hiki ndio kinachowakera sana na kushangilia kwa sana.
Msafara ukazuiwa na police yy akiwa ameshapita hilo eneo waliobaki nyumba wakapewa kibano pamoja na uharibifu. kamanda lema Akaenda plc kuchukua PF3 na RB kwa uharibifu
hapo ndio kesi ilipoanza la hakukuwa nakesi. Cos aliesababisha nguvu ya ziada alitumwa kufanya hivyo akijua ni kosa OCD ikabidi watafute namna ya kuneutralize the issue.
Sababu alikuja mwanasheria RCO akashinda kueleza by definition maandamano lega na sio legal yakoje maana je Lema angeondokaje mkutanoni la wamletee helikopta au waongeze ulinzi kama wa JK atoke mwenyewe pale.
Kuhusu Gari ya ikulu Plc wanamwomba lema iishe chini kwa chini ili yasiende juu sana, asubuhi yake gari haipo imeshapelekwa mbali sijui DAR na driver haonekani, Lema akaachwa kweny mataa walimfix ili isiwe issue. Kesi ikapelekwa mahakamani fasta kama ujuavyo hairuhuiswi issue ya mahakama kuongelewa nje. Kesi haina mshitaki wala aliyevunja gari halali yuko nje ila mwenye shamba ajali ilipotokea ndio mshitaki kama zuga fulani hivi.
habari ndio hio. Lema yuko huru hana kesi yeyote mpaka sasa, mbunge mtarajiwa na PLC wenyewe wanamkubali.
Siku moja kabla ya Kukamatwa kwa Bw lema mgombea Arusha mjini, Jana yake vijana kazi wa Chadema ambao wamepagwa mji mzima kuhakikisha bibie tmoa rushwa batilda hagawi fedha maana vyombo vya takukuru na polisi wanamsaidia na ukiwaita hawana msaada. Vijana kazi walishika gari ya Ikulu ikiwa na number kwenye vioo tofauti na plate number. Wakampiga sana driver akasema kila kitu ametumwa yy ni raia mwema. ikavunjwa vioo police wakaja na kufyatua mabomu wakaipeleka kituoni.
Cha kushangaza wakakataa kusearch na kuitolea habari zozote kila mtu alikuwa anaikimbia ikawekewa ulinzi mkali hadi kwa wanahabari. Lema akaenda press conference akamwaga.
SS kilichofuata. Ikatoka oda kumfuatilia ili kumtafutia kosa. Huwezi amin siku alioshikwa RCO alikuwa kwnyw mkutano wake kajibanza mahali na vijana wa kutosha. mkutano umeisha lema kaondoka na gari si unajua Jimbo kashalichukua tayari vijana mzuka msafara kama kawa wanaimba Mbunge, Hiki ndio kinachowakera sana na kushangilia kwa sana.
Msafara ukazuiwa na police yy akiwa ameshapita hilo eneo waliobaki nyumba wakapewa kibano pamoja na uharibifu. kamanda lema Akaenda plc kuchukua PF3 na RB kwa uharibifu
hapo ndio kesi ilipoanza la hakukuwa nakesi. Cos aliesababisha nguvu ya ziada alitumwa kufanya hivyo akijua ni kosa OCD ikabidi watafute namna ya kuneutralize the issue.
Sababu alikuja mwanasheria RCO akashinda kueleza by definition maandamano lega na sio legal yakoje maana je Lema angeondokaje mkutanoni la wamletee helikopta au waongeze ulinzi kama wa JK atoke mwenyewe pale.
Kuhusu Gari ya ikulu Plc wanamwomba lema iishe chini kwa chini ili yasiende juu sana, asubuhi yake gari haipo imeshapelekwa mbali sijui DAR na driver haonekani, Lema akaachwa kweny mataa walimfix ili isiwe issue. Kesi ikapelekwa mahakamani fasta kama ujuavyo hairuhuiswi issue ya mahakama kuongelewa nje. Kesi haina mshitaki wala aliyevunja gari halali yuko nje ila mwenye shamba ajali ilipotokea ndio mshitaki kama zuga fulani hivi.
habari ndio hio. Lema yuko huru hana kesi yeyote mpaka sasa, mbunge mtarajiwa na PLC wenyewe wanamkubali.