Hizi ajali zichunguzwe vizuri ili ijulikane ni kwa nini zinatokea Morogoro tu ambako ni karibu na Dar.
Kuna uwezekano mkubwa wa mafuta yanayokuwepo kwenye magari haya kiasi kikubwa kinakuwa kimenyonywa njiani na ili uharibu ushahidi ni lazima uangushe gari chini.
Kama wawekezaji wa kutoka nje wanavyosema kuwa Watanzania walio wengi si waaminivu na wanafanya wizi na udokozi wa Kijinga kwa tamaa ya kupata pesa za kufanya matumizi ya ovyo.
1. Uzinzi
2. Mziki
3. Ulevi
4. Kujenga nyumba za kifahari ambazo hazina manufaa yoyote kiuchumi.
5. Kununua magari ya kifahari ambayo hayana tija kiuchumi
6. Kufanya sherehe kubwa ambazo hazina tija kiuchumi
7. Kusafiri ndani na nje na kutumia pesa nyingi bila sababu za kiuchumi.
8. Kujaribu kuingia kwenye Siasa ili kutafuta umaanufu bila kuwa na uzoefu katika Siasa.