Pape JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 5,487 Reaction score 83 Jan 11, 2010 #1 Habari ndiyo hiyo...
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Jan 12, 2010 #2 Mbona kazuri kweli haka ka gari kanafaa kwa utalii hapa kijijini kwetu mbunifu kajitadi sana
tgeofrey JF-Expert Member Joined Jan 29, 2008 Posts 574 Reaction score 25 Jan 12, 2010 #3 Safi sana mambo ya nenda kijani hayo
Pape JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 5,487 Reaction score 83 Jan 12, 2010 Thread starter #4 tutabananahmhm said: Safi sana mambo ya nenda kijani hayo Click to expand... bado hapo kwani kanahitaji fossil fuels...
tutabananahmhm said: Safi sana mambo ya nenda kijani hayo Click to expand... bado hapo kwani kanahitaji fossil fuels...
E ExpertBroker JF-Expert Member Joined Jun 1, 2009 Posts 454 Reaction score 107 Jan 12, 2010 #5 I like it!
O Omumura JF-Expert Member Joined Aug 20, 2009 Posts 476 Reaction score 18 Jan 12, 2010 #6 Naam,gari imetilia hiyo,mswano haswaa!
Pengo JF-Expert Member Joined Oct 15, 2009 Posts 579 Reaction score 10 Jan 12, 2010 #7 Fanyeni taratibu hata hapa kwetu vipatikane kama hivyo kwani nahisi bei yake itakuwa poa
Sajenti JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 3,651 Reaction score 413 Jan 12, 2010 #8 Eh! Mamb ya Lodi rofa hayo!
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,120 Jan 13, 2010 #9 Wale watu wa fire extinguishers wakikukamata nalo....duh...inabidi uwe na mtungi wa tani moja
Sumbalawinyo JF-Expert Member Joined Sep 22, 2009 Posts 1,282 Reaction score 248 Jan 13, 2010 #10 Kanafaa sana kwa harusi yangu.. Lakini sijui ntampata wapi mwezi wa kuniunga mkono.
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,199 Reaction score 8,761 Jan 13, 2010 #11 Hapo hata mkipata nako ajali hakuna tetanasi
Pape JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 5,487 Reaction score 83 Jan 13, 2010 Thread starter #12 PakaJimmy said: Hapo hata mkipata nako ajali hakuna tetanasi Click to expand... hapo ukipigwa pasi na vipanya hautoki....
PakaJimmy said: Hapo hata mkipata nako ajali hakuna tetanasi Click to expand... hapo ukipigwa pasi na vipanya hautoki....
Lole Gwakisa JF-Expert Member Joined Nov 5, 2008 Posts 4,768 Reaction score 2,361 Jan 13, 2010 #13 Mwendo wa gari 10km/hr ukienda spidi zaidi ya hapo unaacha bodi, kimbunga kikija gari litafutie chumba cha kulala!!
Mwendo wa gari 10km/hr ukienda spidi zaidi ya hapo unaacha bodi, kimbunga kikija gari litafutie chumba cha kulala!!
William J. Malecela R I P Joined Apr 27, 2006 Posts 26,584 Reaction score 10,400 Jan 14, 2010 #14 Lole Gwakisa said: Mwendo wa gari 10km/hr ukienda spidi zaidi ya hapo unaacha bodi, kimbunga kikija gari litafutie chumba cha kulala!! Click to expand... - Gari imeniacha hoi sana. Respect. FMEs!
Lole Gwakisa said: Mwendo wa gari 10km/hr ukienda spidi zaidi ya hapo unaacha bodi, kimbunga kikija gari litafutie chumba cha kulala!! Click to expand... - Gari imeniacha hoi sana. Respect. FMEs!