Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
๐ฌ๐๐ฐ๐ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ asante sana kwa maoniHamna Gari hapo Bali chuma chakavu kilichopigwa rangi
Toyota Vanguard๐ฌ๐๐ฐ๐ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ asante sana kwa maoni
vipi unahitaji gari aina gani nikuletee?
usisite kunitumia ujumbe 0625750755
mtu anaeponda gari kwa kigezo cha namba huwa namuona zaidi ya mshamba wa magariMatatzo hyo usitake kuwaachia watu,gari namba CUP hata kama umetunza vizuri,bado uchakavu unaihusu.
Hyo ukinunua Basi kubaki baada ya miaka 2 uingie gharama za mara KWA mara za matengenezo,mwisho wa siku unajikuta gharama zake jumla umenunua mpya ambapo kwa 7-8million unapata
mtu anaeponda gari kwa kigezo cha namba huwa namuona zaidi ya mshamba wa magari
Ok bossmtu anaeponda gari kwa kigezo cha namba huwa namuona zaidi ya mshamba wa magari
Nahitaji Rolls royce iwe 0 kilometer na matairi yawe yamechakaa.๐ฌ๐๐ฐ๐ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ asante sana kwa maoni
vipi unahitaji gari aina gani nikuletee?
usisite kunitumia ujumbe 0625750755
Andaa pound laki 1 mkuu zipo sana hapa dubai cornerNahitaji Rolls royce iwe 0 kilometer na matairi yawe yamechakaa.
Nimekapenda ILA bei ndiyo mbaya. 2.5m/= VIPI?Passo iyoo ipo IRINGA Town
full AC
full Document
Bei poa Sanaa mil 3.5
๐ผ๐๐๐๐๐๐ tabu pga Sim 0625750755
View attachment 1867718View attachment 1867719View attachment 1867720View attachment 1867721View attachment 1867723View attachment 1867724View attachment 1867725View attachment 1867726
Ndogo mkuuNimekapenda ILA bei ndiyo mbaya. 2.5m/= VIPI?
Wanawapa experience iki ukifika jehanam usipate tabu loloo๐ ๐Mapenzi yote haya tunayowapa wanawake lakini bado wanatuchoma moto.