Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 2,012
- 5,571
Gari la kikosi cha Msalaba Mwekundu lililokuwa limebeba Waokoaji waliokuwa wanaelekea kuungana na timu ya uokoaji na utafutaji katika tukio la kutafuta ndege iliyopotea limegongana uso kwa uso na Lori
Mpaka sasa hakuna taarifa ya vifo na majeruhi wameumia kwa kiasi gani, lakini majeruhi 11 wamepelekwa katika hospitali ya JM Memorial iliyoko Ol Kalou kwa matibabu
Katika habari ya awali, ndege iliyokuwa imebeba watu 10 ikitokea mjini Kitale kuelekea Nairobi imepotea angani Juni 5 saa nane mchana
Taratibu za uokoaji zilianza na zinaendelea ambapo ndege hiyo aina ya Cesna C208 yenye namba za usajili 5YCAC inadhaniwa kudondoka katika eneo la msitu wa mlima Aberdares
======
A Red Cross vehicle ferrying a team that was to join the search for the missing Fly SAX plane has collided with a lorry at Kariamu Town.
11 people have been injured and have been rushed to the JM Memorial Hospital in Ol Kalou. The Kenya Wildlife Service (KWS) indicated that the search for the missing plane is ongoing around Njambini in the Aberdares.
This came after phone signals from the two female pilots were traced to the area. The National Disaster Management Unit (NDMU) said poor weather conditions are posing a challenge to the search and rescue team.
“Foggy weather in the Kinangop zone hampered search efforts but we will update you once we receive more detailed information,”
NDMU Deputy Director Pius Masai told journalists. The aircraft that had eight people onboard was enroute to Nairobi from Kitale on Tuesday. It went off radar at 5:20pm, the same time it was scheduled to land at Wilson Airport.
Mpaka sasa hakuna taarifa ya vifo na majeruhi wameumia kwa kiasi gani, lakini majeruhi 11 wamepelekwa katika hospitali ya JM Memorial iliyoko Ol Kalou kwa matibabu
Katika habari ya awali, ndege iliyokuwa imebeba watu 10 ikitokea mjini Kitale kuelekea Nairobi imepotea angani Juni 5 saa nane mchana
Taratibu za uokoaji zilianza na zinaendelea ambapo ndege hiyo aina ya Cesna C208 yenye namba za usajili 5YCAC inadhaniwa kudondoka katika eneo la msitu wa mlima Aberdares
A Red Cross vehicle ferrying a team that was to join the search for the missing Fly SAX plane has collided with a lorry at Kariamu Town.
11 people have been injured and have been rushed to the JM Memorial Hospital in Ol Kalou. The Kenya Wildlife Service (KWS) indicated that the search for the missing plane is ongoing around Njambini in the Aberdares.
This came after phone signals from the two female pilots were traced to the area. The National Disaster Management Unit (NDMU) said poor weather conditions are posing a challenge to the search and rescue team.
“Foggy weather in the Kinangop zone hampered search efforts but we will update you once we receive more detailed information,”
NDMU Deputy Director Pius Masai told journalists. The aircraft that had eight people onboard was enroute to Nairobi from Kitale on Tuesday. It went off radar at 5:20pm, the same time it was scheduled to land at Wilson Airport.