Gari la umeme (EV) la iCar® V23 itauzwa $16,000/= tu

Gari la umeme (EV) la iCar® V23 itauzwa $16,000/= tu

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kampuni ya China ya Cherry wakishirikiana na Xiaomi, wametoa gharama za kununua SUV EV yao ya iCar V23 itauzwa kwa $16,000/= tu.

2024_iCar_V23_(China)_front_view.png
Ikumbukwe Cherry ni kampuni la magari la China sasa wamejoint na Xiaomi na kutengeneza series ya iCar mbalimbali ikiwemo SUV V23, iCar V25, iCar 03 na iCar GT zikiwa ni baadhi. Kwa lugha nyepesi, Cherry anatengeneza gari hafu Xiaomi ana deal na technology na smartcar things.

images (9).jpeg
Hii iCar V23 ni SUV kama tulivyosema inakuja na battery za aina mbili (65.7kwH na 80kWh) zitakazotupatia range ya 300 km na 500 km.

chery_icar_v23-4.jpg

Tuendelee kutafuta hela chuma zipo.
 
Usishangae hizi EV zikaja kuwa na kodi kali, ili watu wabaki kwenye wese,ili wenye mkono kwenye wese, biashara waendelee kupiga pesa.

Tesla model 3 ya 2020, tra wanataka milion 30 kasoro laki chache.
 
Kampuni ya China ya Cherry wakishirikiana na Xiaomi, wametoa gharama za kununua SUV EV yao ya iCar V23 itauzwa kwa $16,000/= tu.
View attachment 3053149
Ikumbukwe Cherry ni kampuni la magari la China sasa wamejoint na Xiaomi na kutengeneza series ya iCar mbalimbali ikiwemo SUV V23, iCar V25, iCar 03 na iCar GT zikiwa ni baadhi. Kwa lugha nyepesi, Cherry anatengeneza gari hafu Xiaomi ana deal na technology na smartcar things.
View attachment 3053151
Hii iCar V23 ni SUV kama tulivyosema inakuja na battery za aina mbili (65.7kwH na 80kWh) zitakazotupatia range ya 300 km na 500 km.
View attachment 3053152
Tuendelee kutafuta hela chuma zipo.
TRA wakija wanakupiga Kodi ya $20,000 kwa gari ya $16,000. Huwa nadhani pale TRA wanaishi mashetani aiseee
 
Naangalia baada ya miaka 10 itakuaje nahisi kutakuwa na viwanda vingi vya kutengeneza magari huku Africa kutoka china. Ebu piga picha kampuni kama CHERRY wakifungua kiwanda chao pale south Africa au Tanzania tutanunua Kwa gani!!

Acha tuendelee kuishi huku tukitafuta pesa maana Huko mbele mambo yatazidi kuwa Moto
 
Gari la wese ni la wese tu, imagine utamu wa land cruiser 1hz alafu uniambie iwe ya umeme 😢
Wakati tunatoka manual to automatic wakongwe walisema auto hamna kitu.

Ila unatakiwa kujua huwezi shindana na technology....

Umeme ndio habari ya dunia kwa sasa...
 
Wakati tunatoka manual to automatic wakongwe walisema auto hamna kitu.

Ila unatakiwa kujua huwezi shindana na technology....

Umeme ndio habari ya dunia kwa sasa...
Hadi sasa manual ndio yenyewe, ila tutazizoea tu, uzuri wa hizi electric vehicles zinakuja na technology ya hali ya juu
 
Wakati tunatoka manual to automatic wakongwe walisema auto hamna kitu.

Ila unatakiwa kujua huwezi shindana na technology....

Umeme ndio habari ya dunia kwa sasa...

Bado manual ni bora zaidi. Ila hakuna watumiaji, watu wamekuwa laini sana.
 
Back
Top Bottom