Gari langu halipokei moto nikiliwasha

Gari langu halipokei moto nikiliwasha

farusofia

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2017
Posts
539
Reaction score
553
Kama kichwa cha habari inavyosema, sina amani, ninamsubiri fundi aje anitengenezee, lakini kabla nilitaka kujua je shida itakuwa nini?

Jana mshale wa joto kwenye gari langu ulikuwa juu kupita kiasi pasi kujua. Nilipoona hivyo nikapaki pembeni, nikakaa kidogo nikalizima, baada ya muda nikajaribu kuliwasha lakini limegoma kuwaka, pia na maji vyote vipo vizuri.

Je, tatizo linaweza kuwa nini? Ni gari aina ya SUBARU LEGACY..
 
Kama kichwa cha habari inavyosema, sina amani, ninamsubiri fundi aje anitengenezee, lakini kabla nilitaka kujua je shida itakuwa nini?

Jana mshale wa joto kwenye gari langu ulikuwa juu kupita kiasi pasi kujua. Nilipoona hivyo nikapaki pembeni, nikakaa kidogo nikalizima, baada ya muda nikajaribu kuliwasha lakini limegoma kuwaka, pia na maji vyote vipo vizuri.

Je, tatizo linaweza kuwa nini? Ni gari aina ya SUBARU LEGACY..

Kwa tatzo lako kama maji ulikuta yapo mengi kwenye Radiator hakuna shida hko. Troubleshoot tunaanzia kwenye Thermostat.
1. Kama Thermostat haifanyi kaz vzur lazima joto la Engine lipande sana 2. Kaz yake n kuruhusu maji ya moto kutoka kwenye Engine kwenda kwenye Radiator hili yapoozwe.

2.Water pump: Hapa unatakiwa unangalie kama water pump n mnzima au la.

3. Gasket: kama cylinder head Gasket imekufa mara nyngi inapelekea Gar kuchemsha.

4. Clan your Radiator with pressure washer. Kama kuna uchafu kwenye Radiator unakuta maji hayapoi kwa kiwango kinachotakiwa hvyo lazima Engine ipandishe joto kwa kasi.
 
Back
Top Bottom