Gari letu TZ MMXV.

Gari letu TZ MMXV.

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Gari letu,

Dereva haaminiki! (Maajabu)
Abiria wanajua kuliongoza kuliko dereva (hawaruhusiwi)
Kupanda abiria kachagua mwenyewe! Safari imekua ya karaha! kushuka hakuna ashukae kwakweli abiria wavumilivu!
kwasasa acha nisinzie! maana kelele sizipendi, jamani tukifika stand mniashe kulihama gari hili haiepukiki, nampenda yule dereva mpole na anaewajali abiria wake, huyu kwa sasa basi, mwendo wake unatisha, kauli zake zaogoposha, njia tupitayo ya mabonde mengi, tafadhali tukifika stand ya kati na mnishushe nitapanda lile lingine, haraka ya nini wakati hatujui tuendako? Mbaya Zaidi safari hii haikupangwa!!

[HASHTAG]#vvm[/HASHTAG].
 
Huyu suka atatufikisha haraka ingawa wenye mishono na wagonjwa inatakiwa wafikiriwe kwenye matuta.

God will never give you more than you can handle!
 
Huyu suka atatufikisha haraka ingawa wenye mishono na wagonjwa inatakiwa wafikiriwe kwenye matuta.

God will never give you more than you can handle!
Dereva mwenyewe ndo mgonjwa no 1
 
Back
Top Bottom