Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Inaripotiwa kuwa gari hilo kulikuwa na abiria watatu ambao ni masista wa kanisa la Katoliki ambao walikuwa wanaelekea kwa nyumba moja ya watawa iliyokuwa katika mtaa wa Karen.
Dereva alipoona kwamba hangeweza kuendelea kuwakimbia wapelelezi ambao walikuwa wamemuandama kweli aliamua kutoka kwa gari lake na kutoweka huku akiwaacha masista wale wakitetemeka kwa woga.
Chanzo radiojambo.co.ke
Dereva alipoona kwamba hangeweza kuendelea kuwakimbia wapelelezi ambao walikuwa wamemuandama kweli aliamua kutoka kwa gari lake na kutoweka huku akiwaacha masista wale wakitetemeka kwa woga.
Chanzo radiojambo.co.ke