Naomba msaada wa kiufundi, Gari langu linatoa moshi japo kidogo, pia linatumia fuel 8 km kwa lita, SPECIFICATION Spacio old model Petrol fuel SHIDA YA GARI INAKULA MAFUTA SANA INATOA MOSHI MSAADA JAMANI, shida ni kitu gani kwenye gari hili na nifanye nini?
Gari yangu asubuhi nikiiwasha inatoa moshi mweupe halafu baada ya muda unakata wenyewe,
Moshi mana yake kuna partial fuel combustion, chek ring piston kwa fundi.
Pia angia expiry date ya hilo gari, pole sana
mkuu hizi bering za kwenye taili ama? zina effect gani? hebu funguka kidogobering ishazngua,fanya mchakato wa kubadili
ni muhimu kujua rangi ya moshi kwa sababu kila rangi ya moshi ina maana yake kwa injini ya petroli na dieselNaomba msaada wa kiufundi, Gari langu linatoa moshi japo kidogo, pia linatumia fuel 8 km kwa lita, SPECIFICATION Spacio old model Petrol fuel SHIDA YA GARI INAKULA MAFUTA SANA INATOA MOSHI MSAADA JAMANI, shida ni kitu gani kwenye gari hili na nifanye nini?