Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ni manual gearbox gari ya kazi hiyo.mchawi service tu hapo
manual transmission hizo unyama sana na ngumu hizoNaona ni manual gearbox gari ya kazi hiyo.
Sio Kwa 5mmanual transmission hizo unyama sana na ngumu hizo
biashara maongezi tu,, sio lazima kununuaSio Kwa 5m
Gari linauzwaa moshi Million 5, ina kila document muhimu inayohitajika.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0628239332
View attachment 2749026View attachment 2749027View attachment 2749028View attachment 2749029View attachment 2749030View attachment 2749031View attachment 2749032
Achia Rizki za watu mkuuHakikisheni haivuki machame wala njia panda, nunueni hapo hapo uchagani, hatutaki hii gari sehemu nyingine za Tanzania.
Kama ni marangu au Rombo, ikifika njia panda tafuteni grader muibebe msiiendeshe, yani ikae uchagani hapo hapo.
Achia Rizki za watu mkuu
sawNimezigusa wapi? Naweza inunua akapata riziki, nikapata Uchira kwa Tadayo mtu akaja iokota. Funguo naweka kwenye bonnet.
Unaweza kukuta hata kibaiskeli hana uwezo wa kukamilikiAchia Rizki za watu mkuu
Si mchezo. Naona chombo inasoma T.... AAY! Na mwaka ujao wa 2024 panapo majaliwa itakuwa inatimiza miaka 30 tangu ilipotengenezwa. Kila la heri.Gari linauzwaa moshi Million 5, ina kila document muhimu inayohitajika.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0628239332
View attachment 2749026View attachment 2749027View attachment 2749028View attachment 2749029View attachment 2749030View attachment 2749031View attachment 2749032
Uchagani ni wapi na moshi mjini ni wapi?Hii gari nina historia nayo Mbaya sana, siwezi endesha hii gari, ni nyepesi sana, inawafaa wachaga wanaotoka uchagani na kuja moshi mjjni na kurudi.