Gari (Noah) ya kupeleka hesabu kwa wiki inahitajika

Gari (Noah) ya kupeleka hesabu kwa wiki inahitajika

Joined
Aug 11, 2020
Posts
23
Reaction score
15
Waungwana habari za majukumu.

Naitwa Saidi natokea maeneo ya pugu wilaya ya ilala mtaa wa bombani mkoa wa Da es Salaam.

Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari aina ya Noah naitaji kwa ajili ya kufanyia kazi huku wilaya ya Kisarawe.

Hesabu nalipa laki mbili kwa wiki matengenezo madogo madogo kwangu nimategemeo yangu atakuja mtu seriuos ili tuweze kufanya kazi.

0712378559
 
Waungwana habari za majukumu.

Naitwa Saidi natokea maeneo ya pugu wilaya ya ilala mtaa wa bombani mkoa wa Da es Salaam.

Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari aina ya Noah naitaji kwa ajili ya kufanyia kazi huku wilaya ya Kisarawe.

Hesabu nalipa laki mbili kwa wiki matengenezo madogo madogo kwangu nimategemeo yangu atakuja mtu seriuos ili tuweze kufanya kazi.

0712378559
Umejaribu benki uone hili Kama litawezekana kweli.
Hii wanakupatia mbona wapelekee proposal yako
 
Back
Top Bottom