Dalali Bunju
Member
- Feb 10, 2014
- 44
- 65
Naombeni ushauri.
Ninahitaji gari ya 25M lakini napendelea gari nzuri na iwe nzito barabarani inayotulia isihame, maana nilizoea magari mazito ya chini ila sasa hivi nahitaji gari la juu kidogo ambayo hata kwenye rough road haitonisumbua kuchanja mbuga.
Nawasilisha kwenu.
Yeah mkuu unapost watsap status uko na mpira wa moto utatomb...a watoto wote wakati walikua wanakuletea poziNa kidoogo itakayobaki kwny hio 5m ni ya kutombe.a tu.
Sina uhakika na hili, ni kwa vile tu mwamba ngoma huvutia kwake!Kwahiyo kitu Touareg ni nzuri kuliko bmw x3?
Achana na Harrier, achana na gari zote.. Chukua KLUGGERNaombeni ushauri.
Ninahitaji gari ya 25M lakini napendelea gari nzuri na iwe nzito barabarani inayotulia isihame, maana nilizoea magari mazito ya chini ila sasa hivi nahitaji gari la juu kidogo ambayo hata kwenye rough road haitonisumbua kuchanja mbuga.
Nawasilisha kwenu.
Mkuu jaribu Trekta maana ni mult purpose kwa kuwa unaweza kuitumia shamba kuunga juhudi sera ya viwanda kupitia kilimo, wakati huo huo unaweza kuitumia kwa safari za hapa na pale mjini na vijijini! Asante!Naombeni ushauri.
Ninahitaji gari ya 25M lakini napendelea gari nzuri na iwe nzito barabarani inayotulia isihame, maana nilizoea magari mazito ya chini ila sasa hivi nahitaji gari la juu kidogo ambayo hata kwenye rough road haitonisumbua kuchanja mbuga.
Nawasilisha kwenu.
Mkuu jaribu Trekta maana ni mult purpose kwa kuwa unaweza kuitumia shamba kuunga juhudi sera ya viwanda kupitia kilimo, wakati huo huo unaweza kuitumia kwa safari za hapa na pale mjini na vijijini! Asante!
Hio ndio tabu ya mipira ya ulaya, ndio maana wahuni wanakomaa na vyuma vya TOYOPET.Sema mkuu hii mipira ya ulaya inawasha sana taa za check ingine kwa barabara zetu hizi ukiitia BM kwenye dimbwi la maji tu inajamba
ina maana huu mnyama huwa ni bei rahisi hivi[emoji852][emoji852]Chukua chuma hiki for safety and reliability. Chukua cha diesel.
Mnyama KLUGER 4 CYLINDER SokoniNaombeni ushauri.
Ninahitaji gari ya 25M lakini napendelea gari nzuri na iwe nzito barabarani inayotulia isihame, maana nilizoea magari mazito ya chini ila sasa hivi nahitaji gari la juu kidogo ambayo hata kwenye rough road haitonisumbua kuchanja mbuga.
Nawasilisha kwenu.
acha kuzarau watu wa mkoani. kwani gari si zinaagizwa kutoka japan? unafikir kila gar lazima ije kuchukuliwa dar?20 hadi 19 hizo 26 anapigwa mbwiga akitoka mkoani huko anayesema nna milioni 26 nataka gari wahuni wana mbutua tena wahuni wanakwambia tunakukatia na bima kumbe wanakukatia bima ile ndogo ukahangaike nayo ha ha ha ha
Hiyo ni XC60, usiifananishe na XC90. Kwa 25M anapata XC60 hata ya 2010 au 2011.ina maana huu mnyama huwa ni bei rahisi hivi[emoji852][emoji852]
Kluger,Subaru Forester la mwaka 2009 au 2010,Harrier 2008,Vanguard(bei kubwa),Ford Escape mwaka 2009Naombeni ushauri.
Ninahitaji gari ya 25M lakini napendelea gari nzuri na iwe nzito barabarani inayotulia isihame, maana nilizoea magari mazito ya chini ila sasa hivi nahitaji gari la juu kidogo ambayo hata kwenye rough road haitonisumbua kuchanja mbuga.
Nawasilisha kwenu.
Cluger[emoji777]Cluger ni Chaguo sahii