Mbalizi feedstuff
Member
- Feb 23, 2025
- 40
- 34
Hakika mkuuDuh......kimfaacho mtu chake. Wahenga walisema....
Ahsante mpendwaAll the Best
Safari popoteDuh......kimfaacho mtu chake. Wahenga walisema....
Iko vizuri tu inatembea shida ni cylinder head tu hata mtu akitaka uhakika namuunganisha na fundi amweleze ukweli huuBe open and sincere; hiyo gari ina matatizo gani ya kiufundi?
NaamGari ya shamba na site 🔥
Haha usemi gani mkuu siko awareMkuu hebu iogeshe kidogo ili iwe na muonekano
Impression ya kwanza mtu akiiona anahukumu kivyake.
Ndio maana unaona usemi hapo juu umerudiwa na wadau wawili
Funguka mkuu usemi wako si bureMTU chake bhana
KAZI ni kipimo cha utu