Kerege darajani hapo
Hahaha..
Hahaha umejisikia vibaya mnooHii sehemu inaonekana hakuna wanywaji, mbona wanakunywa kichovu sana... Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi, nimefedheheshwa sana na Hawa jamaa..
Saana tena hizi campuni hawanaga shida, kunywa tani yako, ila sharti unywe hapohapo sehemu ya tukio usiondoke na chupa wala kreti.Hahaha umejisikia vibaya mnoo
We unaijua kerege au umeamua kusema tui thnk ni mapinga maana kerege hamna daraja kama hilo.
infinix hot 12Unapata wapi muda wa kurecord?
We mzee [emoji23][emoji23]waulize watu wa jikoni mbona hawaleti au hizo nyama wanachomea cheche?