Gari ya Dhahabu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
<hr style="color: rgb(227, 223, 181); background-color: rgb(227, 223, 181);" size="1"> <!-- / icon and title --> <!-- message -->
Gari ya Dhahabu

Mercedes ya Dhahabu ya mwananchi mmoja wa Abudhabi


Nawaachia picha ya gari hii ili mpate kuona wenyewe!!!






Swali je watu wataicha ikisimama nje kwenye parking ?

Nawaachia jawabu wenyewe.
 
kwa wenzetu nchi za kiarabu hio sio ajabu magari kama hayo yapo mengi tuajabu ni huku kwetu tu,nahuyo mwizi atakae liiba atalipeleka wapi,huna wakumuuzia na utalipitisha border ipi,wenzetu wana security ya hali ya juu inngekua bongo unaliiba kama vile unaiba embe lakini kwa wenzetu thubutu kuliiba uone utakamatwa baada ya dakika 5 tu.
 
sijui lina thamani ya dola milioni ngapi,wenye data anijuze hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…