Gari ya kukodi inahitajika

Gari ya kukodi inahitajika

Edwardo Ommy

Member
Joined
Feb 6, 2020
Posts
36
Reaction score
52
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.

VIGEZO
1. Gari iwe na dereva wake.
2. Dereva atalipwa na mwenye gari.
3. Tani 3.
4. Gari itakodiwa kwa mwendelezo na malipo ni kila baada ya mwezi.
5. Kiwango cha siku ni makubaliano kutegemea na gari.
6. Gari lazima ilale Godown/Ofisini siku za kazi.
7. Mawasiliano zaidi 0714664520
8. Mafuta juu yetu.
9. Vibali vya kuingia mjini/city centre ni juu yetu.
 
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni.

VIGEZO
1. Gari iwe na dereva wake.
2. Dereva atalipwa na mwenye gari.
3. Tani 3.
4. Gari itakodiwa kwa mwendelezo na malipo ni kila baada ya mwezi.
5. Kiwango cha siku ni makubaliano kutegemea na gari.
6. Gari lazima ilale Godown/Ofisini siku za kazi.
7. Mawasiliano zaidi 0714664520
8. Mafuta juu yetu.
9. Vibali vya kuingia mjini/city centre ni juu yetu.
Nina gari SUZUKI CARRY DC51T haina 4Wheel.

NAKODISHA . Hii gari Ina Bomba ambazo unaweza kuzitoa au kuamua kuziacha. NINA DEREVA. Mafuta juu yako na vibali vya kuingia mjini juu yako. Tuwasiliane +255716576827 nipo Dar es salaam
 
Nina gari SUZUKI CARRY DC51T haina 4Wheel.

NAKODISHA . Hii gari Ina Bomba ambazo unaweza kuzitoa au kuamua kuziacha. NINA DEREVA. Mafuta juu yako na vibali vya kuingia mjini juu yako. Tuwasiliane +255716576827 nipo Dar es salaam
Carry ni 1tonne
Yeye anahitaji 3tonnes
 
Back
Top Bottom