Kabla ya hizo kulikuwa na TD,Sema ya kwanza kusajiliwa kwa mfumo huu wa sasa.
Hapo kabla kulikuwa na TZ.. Then TZA, TZB, TZC
Rav4 First Gen na heshima yake...Kwenye pita pita zangu nimekutana na gari ya kwanza kabisa kusajiliwa kwa hapa nyumbani..
Haraka haraka inaonekana hii gari ni ya Mchaga.. AC ya kujaza.. Spare Tyre na spanner havipo..
Gear Kirungu..!
Wale wanaosubiri namba E.. Mnaweza kununua hii iconic car kupiga misele wakati mnasubiria E ifike..!View attachment 2231919
... zilikuwepo series za mikoa kama BK, AR, MS, IR, etc.Sema ya kwanza kusajiliwa kwa mfumo huu wa sasa.
Hapo kabla kulikuwa na TZ.. Then TZA, TZB, TZC
Hizo ndio zilitakiwa zingepunguza uhalifu... zilikuwepo series za mikoa kama BK, AR, MS, IR, etc.
Jamaa mbunifu sana sana.Tangazo lako nimelipenda mkuu
Mkuu legeza bei nilinunue hii itakuja kuingia kwenye rekodi ya makumbushoKwenye pita pita zangu nimekutana na gari ya kwanza kabisa kusajiliwa kwa hapa nyumbani..
Haraka haraka inaonekana hii gari ni ya Mchaga.. AC ya kujaza.. Spare Tyre na spanner havipo..
Gear Kirungu..!
Wale wanaosubiri namba E.. Mnaweza kununua hii iconic car kupiga misele wakati mnasubiria E ifike..!View attachment 2231919
Mkuu gari mzee haikosagi makando kando wazoefu tunalijua hiloSio yangu aisee.. Ila bei fair hiyo..!