Gari yako imekupa nini kama kijana atleast 1500cc ingependeza zaidi 1790c

Gari yako imekupa nini kama kijana atleast 1500cc ingependeza zaidi 1790c

Habari wana jamvi Nitawatakie Heri ya pasaka hapo kesho kwakuw sasa nko mbali na familia nauza hili wazo kesho asubuhi nikiw naend church naweka Hotipoti na kontena kwa Gari ili ikitokea mialiko ya kizembe nirud na ushind


Turud kwenye mada hapa napenda tupeane experience hasa kwa sisi vijana ambao Tumemilka magari before 30 na sasa hatupo zaid ya 30 Tujuzane Gari yako unayomilik imekupa nn zaidi

Kwa upande wangu ni value hasa nikiend kwenye madili nauwezo wakuhtaji malpo makubwa kulko awali..
Kuaminik
Kujulikana zaid (shughuli zangu nafanyia mkoani)
Kupata watoto wazuri
Gari pia imenipa connection na kufany nipate kpato zaid
Nmekuw na matumiz makubwa sometimes
Gari imenifanya kuwa mzembe kiafya...




.........tupean uzoefu zaid tunawez ongezean maarifa

NB:- nyie mnaona tunawalingishia sawa tuu

Imejitahid kupata wazo la kuleta jamii forum mwenyewe[emoji18][emoji1750]
 
Nimeshsiriwa na dr niache kutumia coz, uzito na kimo haviendan hivo ni obesity nifanye zoez la kutisha
 
Habari wana jamvi Nitawatakie Heri ya pasaka hapo kesho kwakuw sasa nko mbali na familia nauza hili wazo kesho asubuhi nikiw naend church naweka Hotipoti na kontena kwa Gari ili ikitokea mialiko ya kizembe nirud na ushind


Turud kwenye mada hapa napenda tupeane experience hasa kwa sisi vijana ambao Tumemilka magari before 30 na sasa hatupo zaid ya 30 Tujuzane Gari yako unayomilik imekupa nn zaidi

Kwa upande wangu ni value hasa nikiend kwenye madili nauwezo wakuhtaji malpo makubwa kulko awali..
Kuaminik
Kujulikana zaid (shughuli zangu nafanyia mkoani)
Kupata watoto wazuri
Gari pia imenipa connection na kufany nipate kpato zaid
Nmekuw na matumiz makubwa sometimes
Gari imenifanya kuwa mzembe kiafya...




.........tupean uzoefu zaid tunawez ongezean maarifa

NB:- nyie mnaona tunawalingishia sawa tuu
Hizi ni mada za kina RRONDO na mrangi
 
Back
Top Bottom